Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh!
Kwa hiyo form 5 na 6 inakuwaje? Kwenye kiswahili, binafsi siungi mkono! Hatuna vitendea kazi BADO vya kufundishia kiswahili mpaka chuo. China, Korea, Uk, USA walifanikiwa kwenye lugha zao mama kama lugha za kufundishia sababu walikuwa na rasilimali ya kutosha, na kikubwa uwezo wa kifedha.
Ila ngoja tuone, tuwe positive!
sere nzuri ya wao kuendelelea kututawala maana watoto wao watasoma hizo shule kama faiza na santi meri sisi wa kwetu za kata
ina maana wao wataendelea kututawala maana sisi tutakuwa hatuna elimu...
ntakula nao sahani moja
Upuuzi wa hali ya juu huu.
Rwanda wameongeza kiingereza sisi tunapunguza lugha. Katika hao rais, waziri wa elimu, katibu mkuu watoto wao wanasoma njee halafu wanawadanganya watanzania
Upuuzi wa hali ya juu huu.
Rwanda wameongeza kiingereza sisi tunapunguza lugha. Katika hao rais, waziri wa elimu, katibu mkuu watoto wao wanasoma njee halafu wanawadanganya watanzania
Majanga,
Najiuliza tu ma-housegirl... mimba nk miaka saba tu shughuli sasa unaweka mpaka form four.., saidia fundi watapatikana wapi? Mi mawazo yangu ni kuwa na wasomi haswa na kuwa vocational skilled labour force haswa.
Hivi ni shule gani za msingi cum secondari zitakazoweza kuwafundisha elimu ya ufundi haswaaa. Vifaa watavipata wapi?Bunsen burner tu wameshindwa kununua je wataweza kununua lathe machine?
Nilifikiri elimu ya msingi iwe mpaka darasa la tano, then unakuwa na wale wanaoenda michepuo ya vocational na wale wanaoendelea na pure shule hivyo hivyo mpaka secondary, na iwe compulsory.
Tatizo letu sasa tuna wasomi wavaa tai wasiojua kufunga tai. Graduates weeengiii lakini weupeeee , matokeo yake wachina wanakuja na nyundo za kunyoosha magari na wanapiga hela ya hatariii.
Dah, yani mi hata sielewi dunia watakayoishi watoto wetu.
Ndio sera za CCM hizo. tulieni tu mnyolewe kiutam utam.
its kiswahili language and not Swahili language