Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini wamefuta huo mtihani jaman
Ni shida kuamini kuwa mtihani ndo elimu.
Afadhali umenielewa mkuu. Kwa hiyo hapo mtu ukitaka kumponya mwanao inabidi umsomeshe nje kuanzia chekechea!
Upuuzi wa hali ya juu huu.
Rwanda wameongeza kiingereza sisi tunapunguza lugha. Katika hao rais, waziri wa elimu, katibu mkuu watoto wao wanasoma njee halafu wanawadanganya watanzania
Sina imani kama hata wewe umesoma sera zaidi ya kuisikia au kuletewa mezani hata bila kuijua, kama hujui omba ushauri wa Kisheria, kwa Elimu yangu ya darasa la nne enzi za Mwl, ni kwamba project ya kitaifa kama hio inatakiwa kufuata hatua zote (Project cycle) ili ifanikishe malengo, sasa nyie mlipofikia hapo ni stage ipi? Who is the stakeholder if not just pressure from somewhere else?
Hiyo sera watanzania Wanataka kwa sasa? Kana sio kukurupikia mambo then yanawashinda kutimiza, pia usiwazie hako kaelimu Kako Bali mstakabali wa Taifa na vizazi vijavyo
Haya mkuu nimekuelewa. Nashukuru kwa elimu ulonipa.
Mkuu wa nchi kasema sera hii italikomboa taifa ifikapo mwaka 2025, au miaka 9 tu toka alipoizindua. Sidhani kama yeye ameisoma hii sera.