Mtihani wa Kiswahili kigumu

Mtihani wa Kiswahili kigumu

Inaruhusiwa kwenye lugha hiyo kitu inaitwa language alteration na sio mbaya sana kufanya code mixing au code switching
 
Na hii mvua kiingereza kinatereza tu. Mara useme will see you next month
 
Kila mgombea urais afanye mtihani wa Kiswahili kigumu ili tuachane na hii tabia ya viongozi kuongea kiswanglish
Hii ilifaa jukwaa la siasa kabisa.....manake kule mambo kama Rais wa TLS, Rais wa nchi, Rais wa TFF yana washabiki wengi!
Anyway nia kubwa ya mimi kukuandika hii response ni kukusalimia kwa kweli. U hali gani?
 
Kiswahili kigumu hutapata viongozi hasa ukitumia lahaja za kiunguja na kimvita watapoteana.

Mfano.
Mchana uitwe mtsana
Msichana aitwe nshikyana
Aliwashinda iwe kawashindi
Mmetenda iwe mtendele
Pasua iwe bashoa
Kuongea iwe tongoa


Aahhaaa!!!.nashauri wafanye tu mitihani ya kiswahili kirahisi kwa lahaja sanifu ya kiswahili.
Hivyo siyo Kiswahili kilichotumiwa na Shanna Robert hata litany cha Kuli kililichoandikwa na Adam Shafi hakutumia lugha hiyo
 
Naona watu mpo kwenye vitakirishi vyenu mnaijaza kunzidata ya JF.
 
Back
Top Bottom