Mawazo mazuri lakini yanatolewa na mtu siye makini wa kufanya utafiti naweza kusema kukurupuka na hoja.....! Nchi yenye tratibu nzuri ilizojiwekea hawezi kukaa siku suku tisini bila utawala wa kidemokrasia aliyechaguliwa .
tuandae utaratibu mzuri, tume huru ya uchaguzi all posible means of tranparency na baada ya uchaguzi aapishwe na kazi ziendelee pia in a agreable transparency way.
Mawazo mazuri lakini yanatolewa na mtu siye makini wa kufanya utafiti naweza kusema kukurupuka na hoja.....! Nchi yenye tratibu nzuri ilizojiwekea hawezi kukaa siku suku tisini bila utawala wa kidemokrasia aliyechaguliwa .
tuandae utaratibu mzuri, tume huru ya uchaguzi all posible means of tranparency na baada ya uchaguzi aapishwe na kazi ziendelee pia in a agreable transparency way.
Aliongeza kuwa nafasi za wabunge wa viti maalumu bungeni ziondolewe ili viti hivyo vishindaniwe kidemokrasia.Alisema wanawake wanatakiwa waelimishwe na kupikwa ili wahimili ushindani katika medani za kisiasa. Alisema kuwa taifa linahitaji viongozi bora na siyo kustarehesha jinsia.
Mawazo mazuri lakini yanatolewa na mtu siye makini wa kufanya utafiti naweza kusema kukurupuka na hoja.....! Nchi yenye tratibu nzuri ilizojiwekea hawezi kukaa siku suku tisini bila utawala wa kidemokrasia aliyechaguliwa .
tuandae utaratibu mzuri, tume huru ya uchaguzi all posible means of tranparency na baada ya uchaguzi aapishwe na kazi ziendelee pia in a agreable transparency way.
Well said,hilo la mambo ya upendeleo linapaswa kufutwa mara moja watapendelewa mpaka lini na hii ndio inazidi kuwafanya wajione kama wao ni wa kupendelewa siku zote tunapaswa kuandaa mazingira ili kuwa na ushindani wa usawa sio upendeleo.