MUSONI
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 904
- 687
Mawazo mazuri lakini yanatolewa na mtu siye makini wa kufanya utafiti naweza kusema kukurupuka na hoja.....! Nchi yenye tratibu nzuri ilizojiwekea hawezi kukaa siku suku tisini bila utawala wa kidemokrasia aliyechaguliwa .
tuandae utaratibu mzuri, tume huru ya uchaguzi all posible means of tranparency na baada ya uchaguzi aapishwe na kazi ziendelee pia in a agreable transparency way.
tuandae utaratibu mzuri, tume huru ya uchaguzi all posible means of tranparency na baada ya uchaguzi aapishwe na kazi ziendelee pia in a agreable transparency way.