Mtikila: Hili bunge la katiba limejaa wahuni na washenzi sijawahi kuona toka tupate uhuru

Mtikila: Hili bunge la katiba limejaa wahuni na washenzi sijawahi kuona toka tupate uhuru

Namkumbuka huyu REV. MTIKILA katika miaka ya tisini alikuwa anadai KATIBA na TANGANYIKA irudishwe, watu wengi walidhania ni chizi kutokana na lugha yake. Leo yale mawazo yake ndiyo yanapiganiwa na wengi. Huyu jamaa huwa ni MTAIFA sana, ila bahati mbaya watu wengi hawamuelewi. nakumbuka alishaipeleka serikali mahakamani akidai mgombea binafsi, alivyoshinda ile kesi PINDA akampotezea. Leo hii tunapigania mgombea BINAFSI.

nina mashaka kama huyu mzee ni Mtanzania maana watanzania sio majasiri hivi!
 
MTIKILA huwa haeleweki, pia ni mtu anae penda sana kesi. Akikoswa kesi ama ya kushitaki au kushitakiwa huwa hana raha kama mlevi kukosa pombe. Kwa hili amekosea, unaposema wajumbe wa baraza la katiba ni wahuni na washenzi, unakuwa umemtukana pia rais alie wateua hawa watu.
Hajamtukana,hizo ni sifa alizonazo Sammy.Gabbage in, Gabbage out. Uteuzi wake unaweza kukupa picha halisi kuwa Sammy ni mtu wa aina gani!
 
Kama unamkubali Mtikila mwenye chama chenye usajili wa kudumu ingawa wanachama wote alionao hawafiki 150, basi unamatatizo makubwa.

Kwani wanaokukubali wewe, una wanachama wangapi?
Na ungependa amkubali nani?
Au umeipenda kauli ya Kizalendo lakini haukupenda mahala ilipotokea?
 
Mtikila yuko sahihi kabisa, mtu kama john komba, mwigulu nchemba, lusinde, sugu, bulembo, makonda, na wengineo, kweli wana hadhi ya kuingia kwenye bunge la katiba? Bunge hili limejaa wababaishaji na wapiga dili wakubwa, ndo maana kwao posho ndo namba moja! Hongera mtikila kwa kuwa wazi aisee!
 
hureeeeeeeeeeee

Tanzania haijawahi kuwa nchi ya demokrasia hata day 1
 
Mtikira ni kichaa tena mwathrika wa kisaikolojia, mtu akishakwenda jela hizi za kibongo ujue hatoki salama, maana kule chakula ni cha shida, ili ushibe wanyapara lazima wakuananihiiiiiiiii, sjui kama mch. alisalimika, mliokaribu naye mchunguzeni anaponyanyuka pale alipokuwa amekaa. Fanyeni hivi ndani ya siku 7 tu jibu litapatikana. Chezea nyapara weye.

Nina wasiwasi na upeo wako!!
 
MTIKILA huwa haeleweki, pia ni mtu anae penda sana kesi. Akikoswa kesi ama ya kushitaki au kushitakiwa huwa hana raha kama mlevi kukosa pombe. Kwa hili amekosea, unaposema wajumbe wa baraza la katiba ni wahuni na washenzi, unakuwa umemtukana pia rais alie wateua hawa watu.

ulevi upo wa aina nyingi! usiseme pombe tu!
Ila jiulize mlevi akikwambia mbele kuna hatari utapuuza?
tafakari maneno ya mtikila!
 
Inasikitisha kuona wajumbe wakisema ati 300k/d haitoshi......halafu hao wanaopinga wanaogopa hata kujitokeza kusema hadharani kwa nini ni ndogo.....Namsikitikia Mhe. JK kwa hali ya mambo
 
Bunge la kutaka tu potsho kubwa badala ya kuangalia kilichowapeleka kujadili. Huyo mbunge aliyetoa hoja hafai kabisa kuwa mbunge wa nchi hii. Nasema kwa sababu yeye anataka kubomoa badala ya kujenga.Hizo 300000 kwa siku kwa mda wa siku 30 ni millionaire 18,000,000. Hii ni sawa na mshahara wa mtu wa sh.300,000 kwa mwezi kwa mda wa miaka 5. KAMA MSHAHARA WA MTU MMOJA KWA MIAKA MITANO ANAPEWA MBUNGE POSHO KWA MIEZI MIWILI TU AMBAYO NI MILIONI 90 KWA MWEZI HALAFU BADO ANALALAMIKA KUWA NI KIDOGO. JE, HUYU NI WA KUJENGA AMA KUBOMOA? HAFAI KUWA MBUNGE KABISA.

HKL or KLF nenda kasome hisabati na sio hesabu.300,000/=X30 =18,000,000/= Tanzania nchi yangu nakuonea huruma.
Kweli na ww n GT¿?!¥₩§
 
Majority doesnt mean they are right..... ccm wapo lukuki na tunaona kazi zao...

Miaka 20 ya uanzishwaji chama una members 150? they should be something wrong somewhere in his big head.
chama n umoja uliothabiti. hujengwa na watu.
 
Jeshi la mtu mmoja
Ongera Mtikila kwa kuliona hilo maana nilifikiri tulioliona hilo ni sisi tulio nje ya hilo bunge mnaloliita la katiba.
 
Mtikira kichwa na mzalendo wa kweli, kumbuka aliyoyasema ya PK Ya kupandikiza watu na choko2 tuonazo sasa hivi za wanyaru.
 
Back
Top Bottom