Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchungaji Mtikila leo huyu jamaa amekandia bunge lote la katiba na kusema anasikitka soon atalicha bunge hilo mana limechaguliwa kihuni.Nasema hivi wambieni kabsa nimesema hili ni bunge la kihuni limechaguliwa kihuni ndio maana unakutana na mambo ya kishenzi mnayoendelea kuyaona.
Nasema tangia uhuru sijapata kuona bunge la kihuni kama hili.Sitoshangaa maamuzi ya kihuni na kishenzi kutokea siku tunaagana pale nje.Huyo ni rev. Christopher Mtikila.
Source: BBC swahili
Mtikila ni zaidi ya Nape.Mtikila ni zaidi ya CHADEMA!
Mtanisamehe kwani kwenye posho,hakuna tofauti ya wapinzani na chama tawala!
Kama wabunge wote wa bunge la katiba ni wahuni basi hata yeye ni mhuni na ndio maana amechaguliwa kujiunga na machizi wenzake
Kama unamkubali Mtikila mwenye chama chenye usajili wa kudumu ingawa wanachama wote alionao hawafiki 150, basi unamatatizo makubwa.
namkumbuka huyu rev. Mtikila katika miaka ya tisini alikuwa anadai katiba na tanganyika irudishwe, watu wengi walidhania ni chizi kutokana na lugha yake. Leo yale mawazo yake ndiyo yanapiganiwa na wengi. Huyu jamaa huwa ni mtaifa sana, ila bahati mbaya watu wengi hawamuelewi. Nakumbuka alishaipeleka serikali mahakamani akidai mgombea binafsi, alivyoshinda ile kesi pinda akampotezea. Leo hii tunapigania mgombea binafsi.
Namkubali sana Mtikila! Kwa hili nadhani yuko sahihi.
Kama unamkubali Mtikila mwenye chama chenye usajili wa kudumu ingawa wanachama wote alionao hawafiki 150, basi unamatatizo makubwa.
Mtikila ni zaidi ya Nape.