asa sambai
Member
- Feb 22, 2014
- 52
- 2
Haahaaa mpleke uone km hajkufunga ww. Umesahau ni majuzi tu alimtukana kikwete jamhuri ikamshtaki lakini akashinda?
Jamani ifike mahali watanganyika tutambue haki zetu si kuburuzwaburuzwa tu km watoto wadogo
Mtikila haburuziki ndugu
Kikwete ana kazi kweli kweli,ila mtikila anachosema kina ukweli ndan yake