Mtikila: Kagame amepenyeza Wanyarwanda 35,000 Tanzania, Burigi, katika Wilaya ya Muleba

Mtikila: Kagame amepenyeza Wanyarwanda 35,000 Tanzania, Burigi, katika Wilaya ya Muleba

KASHAIJABUTEGE; Ningemuelewa angesema Kagame apenyeza Wanyarwanda na si kusema "Watusi".


Kaka ata jina lako limekaa ktusi mpo wengi sana kiukweli kagame hajali wanyaruanda anajali watusi ndio maana ata mseven anataka kumpa mtoto wake nchi...angekua anajali wanayaruanda asingeua wahutu 6m akiwemo rais mhutu juvenal haybrymana kwa kutungua ndege yake akiwa na rais wa burundi mhutu...
 
naanza kuwa na wasiwasi na yule kijana msaka uraisi inaweza ikawa ni project yao. Maana alisema yeye anakubalika africa mashariki na pia ni mshauri wa m 23. Kuna kitu hakiko sawa. Thanks mtikira, ila acha kumhusisha nyerere na huu unyang'au!

umesoma mada ukaielewa mkuu ?imefanyiwa kazi kishenzi.nikupe hint?laurent kabila alihifadhiwa na nani hapa tanzania?josee kabila ni mzaire au mtusi?unaijua bahima empire?wazo la kuunda eac lilikuwa ni wazo la nani?nani alimuua laurent kabila?nyerere anahusika sana.
 
Mtikila amesambaza Waraka unaomtuhumu Kagame Kusambaza Wanyaranda 35,000 katika Tz na ameitaka serikali kuchukua hatua!!!
Ni jambo la Kushangaza Gvt inatumia Nguvu nyingi kulinda mpaka wa Malawi na Tanzania lakini Wamemwacha Kagame na Mseveni wakipenyeza Wanyarwanda 35,000 na wamehesabiwa katika sensa huku wakiendelea kuwatesa Raia!

Ni Ujinga mkubwa kuona kwamba Wanyarwanda wengi wameshaghushi Vyeti vya uraia na wengine wameanzisha makanisa kama alivyo Askofu Mulileghe Mkombo Kutoka DRC lakini Serikali badala ya kushughulika na Watu hao , inageuka na kuwatesa viongozi wa dini wanao pinga ufisadi ndani CCM na kuwakumbatia watu kama Mkombo ati kwa sababu anaombea viongozi wa Kitaifa!!!

Suala la kujiuliza ni Watanzania wangapi wanaweza kwenda Rwanda na kushika madaraka ra Serikali ya Rwanda na kuingiza mifugo huku wakitukana serikali ya Kagame???
Kama Wahutu wenye uraia wa Rwanda wamenyongwa kwa kuanzisha vyama vya upinzani sembuse Watanzania kuishi Rwanda???
Serikali itazame jambo hili kwa makini ikifikia Kagame na Joyce Banda wakaungana tunaweza kupata matatizo Makubwa!!!
Soma Waraka Wake Hapa:

Tatizo kubwa ni ccm na serekalia yake. Wameacha kushughulikia mambo muhimu ya kiuchumi na yenye tija kwa usalama wa nchi yetu, wao wamebaki wakitumia nguvu nyingi kuhamgaika na chadema, chama ambacho nikesajiliwa kisheria kwa taratibu za nchi na wala hakina silaha.

Serekali na viongozi wetu wame loose focus kabisa na hawajui nn maana yao kupewa uongozi wa nchi. Rwanda wako so strategic, sisi tumebaki na siasa tu. viongozi wote wa serekali, ccm na watawala na vyombo vya usalama wamebaki kuelekeza nguvu zote na resource kwenye chaguzi za madiwani na wenye viti wa vijiji nakuacha usala wa nchi rehani!! Ni aibusa.

Mimi naamini chadema hawana tatizo lolote kwa ccm ila hawa jamaa ndo wabaya.

Nashangaa chadema kuitwa gaidi na wala sii kagame! Tanzania tuko uchi na usalama wetu uko hatarini.

Tujiulize tu swali rahisi: ni wa Malawi wangapi wako majumbani kwetu kama wafanya kazi za ndani, ni wanyarwanda wangapi wako kwenye taasisi za serekali pamoja na usalama, ni wanyarwanda wangapi wameolewa na watanzania? Na je kwa upande wetu ni Watanzania wanagapi wanaweza kwenda kuishi Rwanda au malawi kama wao wanavyo fanya?

Ningeomba tu ccm hasa viongozi wetu Mwigulu, Nape, Kinana, Nchimbi na JK wa achane na chadema wa hangaike na hawa magaidi wa kweli! Hizi siasa zinaweka usalama wa nchi pabaya.
 
Mkuu inamaana watusi siyo wanyarwanda.
Ni ubaguzi usio na maana yoyote kwangu.
Kwanini ataje kabila moja badala ya utaifa? Mbona maeneo ya Burigi hata Wahutu wapo wa kutosha? Bahati nzuri nayajua vizuri maeneo ya Burigi tokea Muleba mpaka Karagwe.
 
Nchi iko rehani, nchi inaporwa, sisi tunabaki kukimbizana na chadema usiku kucha nasiasa za maji taka na kuachia nchi wengine?

Hizi nguvu tuelekeze kulinda nchi yetu na rasilimali zetu!

Ccm amkeni!!!!
 
There is something going on ........Tanzanian we have to be stronger now....tuache utoto....nchi tuliyoachiwa na wazee wetu tukishindwa kuilinda hata kwa mungu tutashindwa kujitetea
 
Ni nani aliyesema Tanzania sio mabingwa wa propaganda?
Tena hadi za kumchafua hadi Mwasisi wa Taifa?, this is bull shit!!!!!!!.
 
Nchi iko rehani, nchi inaporwa, sisi tunabaki kukimbizana na chadema usiku kucha nasiasa za maji taka na kuachia nchi wengine?

Hizi nguvu tuelekeze kulinda nchi yetu na rasilimali zetu!

Ccm amkeni!!!!

tatizo hawa watu wakikamata sehem ni wabaguzi kishenzi; nafikiri wengi mshakutana nao sehem sehem tofauti!
kama serikali imeshindwa kushugulikia tatizo hili, ijulishe umma tu, sidhani kama watz watashindwa kulishughulikia hili!
 
mada hii ina thamani ya dola BILIONI moja.abarikiwe mara milioni mleta mada.mods msiiyeyushe,watanzania wengi watafungukuka.watusi ni moja ya majanga nchini.inahisiwa kuwa wanafanya kazi bega kwa bega na magamba.hata polisi kupiga na kuua wapinzani wana mkono.wanataka ccm itawale milele ili wakamilishe mchakato wao wa bahima empire kupitia EAC.nimekuwa nashangaa kwa nini ccm imepenyeza watusi sehemu nyeti za nchi yetu.!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!?????????????????????????????????????????????????????

hatari zaidi wakikamata sehemu wanabagua mpaka wazawa!ndugu zangu mtikila hata kama mnamuonaje, kawaida yake anakomalia vitu vya maana tu. Kwa hili anahitaji shukrani. mtikila sio mnafiki bali nishujaa na kama unabisha fwatilia kazi ambazo anaamua kuzifanya, sio mvivu kwa mambo ya msingi. Watu kama Mtikila ni wachache sana tz!
 
mtikila amesambaza waraka unaomtuhumu kagame kusambaza wanyaranda 35,000 katika tz na ameitaka serikali kuchukua hatua!!!
Ni jambo la kushangaza gvt inatumia nguvu nyingi kulinda mpaka wa malawi na tanzania lakini wamemwacha kagame na mseveni wakipenyeza wanyarwanda 35,000 na wamehesabiwa katika sensa huku wakiendelea kuwatesa raia!

Ni ujinga mkubwa kuona kwamba wanyarwanda wengi wameshaghushi vyeti vya uraia na wengine wameanzisha makanisa kama alivyo askofu mulileghe mkombo kutoka drc lakini serikali badala ya kushughulika na watu hao , inageuka na kuwatesa viongozi wa dini wanao pinga ufisadi ndani ccm na kuwakumbatia watu kama mkombo ati kwa sababu anaombea viongozi wa kitaifa!!!

Suala la kujiuliza ni watanzania wangapi wanaweza kwenda rwanda na kushika madaraka ra serikali ya rwanda na kuingiza mifugo huku wakitukana serikali ya kagame???
Kama wahutu wenye uraia wa rwanda wamenyongwa kwa kuanzisha vyama vya upinzani sembuse watanzania kuishi rwanda???
Serikali itazame jambo hili kwa makini ikifikia kagame na joyce banda wakaungana tunaweza kupata matatizo makubwa!!!
Soma waraka wake hapa:
aisee hii ni hatari inabidi gvt ichukue hatua tena za makusudi kabisa vinginevyo......
 
Ni ubaguzi usio na maana yoyote kwangu.
Kwanini ataje kabila moja badala ya utaifa? Mbona maeneo ya Burigi hata Wahutu wapo wa kutosha? Bahati nzuri nayajua vizuri maeneo ya Burigi tokea Muleba mpaka Karagwe.

ninachoshukuru hata we mwenyewe umekiri kwamba hawa watu wapo kwa ujumla! nafikiri kama umesoma huu walaka wote vizuri, ungefahamu kwanini Mtikila ametaja kabila moja!nakuomba kama unawezakufanya kautafiti kuhusu haya makabila mawili utajua tatizo ni nini, halafu ndo uje utuwekee wazo lako kuhusu ulichokipata. Mtikila hana ugomvi na wageni waishio tz ila wale wenye ajenda ya siri. Mbona kama ni wageni tz wako wengi mno!haina shida, ishi tz kihalali na si kiujanjaujanja kama hawa jamaa wenye ajenda ya siri ya kucolonize!
 
Watanzania jihadharini sana na hii sumu ya Mtikila. Haina maslahi kwa watanzania!!!
 
Sio tiss tu na pccb na sehemu zingine lakini nasikia wengine ni mawaziri na ndo mnaowapigia chapuo kuwa maraisi vetting ya bongo ni fedha na kuwa mwanamtandao hata kama huyo mtu atauza nnchi
 
I cant believe people are falling for this garbage from Mtikila,inasikitisha sana na I don't think kama Rwandese wanawachukia watanzania kiasi hiki mnachofikiria,watanzania wanapendwa sana na kuheshimika Kigali wanajulikana kama waswahili wa mwalimu na wamejaa kila sector Kigali wanafanya kazi bila bugudha na work permit za bure,na kuna big businesses zinaendelea btn borders bila usumbufu wa rushwa au askari...this is very sad watu kama kina Mtikila wanataka kuharibu uhusiano mzuri btn hizi nchi mbili na watu kutokana na kuwa ignorant or uninformed wanaamini huu upuzi.poleni sana.
 
Jambo hili halifai kupuuzwa kibwege -----, lazima kuna zaidi ya aliyoweka wazi Mtikila! hizi habari wengi wanaziongelea kwa mda mrefu sana, ila ujasiri kama wa Mtikila ndio wamekosa!
Mtikila mara nyingi hafumbii macho jambo analoona ni hatari kwa jamii yake! Kwani ni mangapi ameyapeleka mpaka mahakamani? watu mwishoni akishawafumbua macho ndio wanamkubali. Tusiwe wavivu tuamke tujiulize mambo yote yanayofanyika ndani ya nchi yetu ni sahihi?
 
Mtikila kamsahau yule mtusi wa TRA, kama sijakosea atakuwa msemaji w TRA au muelimishaji, ni mtusi ila kaajiriwa na Serikali tena TRA
 
Mtikila akamatwe haraka sana akatoe ushahidi mahakamani kuhusu hizi shutuma alizozitoa kwa Kagame na Museven,by the way nimeshawahi kusikia tetesi kuwa Nyerere raisi wa mwanzo wa Tanzania ana damu ya kitusi pia
 
JF...!
Shalom wakuu! Nimejaribu kupitia article ya mch.Mtikila inayoonesha mbinu chafu za Rais Paul Kagame wa Rwanda dhidi ya Taifa letu, Lakini nimeshangaa kusoma kuwa Mhe.Peter Serukamba wa Kigoma Mjini(CCM) kuwa si mtanzania bali ni Jasusi la kinyarwanda aliyepandikizwa na Rais Kagame kwa kazi maalumu ya ushushushu na kuvujisha siri na nyaraka za nchi kwa kutumia mgongo wa cheo chake kama mbunge na uenyekiti wa kamati ya bunge ya manunuzi.

My outlook:
kama ni kweli je Idara ya usalama inasubiri nini kuchunguza madai haya?
 
JF...!
Shalom wakuu! Nimejaribu kupitia article ya mch.Mtikila inayoonesha mbinu chafu za Rais Paul Kagame wa Rwanda dhidi ya Taifa letu, Lakini nimeshangaa kusoma kuwa Mhe.Peter Serukamba wa Kigoma Mjini(CCM) kuwa si mtanzania bali ni Jasusi la kinyarwanda aliyepandikizwa na Rais Kagame kwa kazi maalumu ya ushushushu na kuvujisha siri na nyaraka za nchi kwa kutumia mgongo wa cheo chake kama mbunge na uenyekiti wa kamati ya bunge ya manunuzi.

My outlook:
kama ni kweli je Idara ya usalama inasubiri nini kuchunguza madai haya?
Achana na propaganda hizi chafu za Mtikila. Peter Serukamba ni mtanzania,Baba yake ni Msukuma, Mama yake ni mjiji/tutsi,. Ninamfahamu Peter,kwa undani hasa. Hata wakati anaomba kuteuliwa na Chama chake cha magamba 2005,wapinzani wake within CCM Wali-raise hii uppuzi. Ilibidi waende hadi Kijijini Mkigo-Manyovu aliko babu na wajomba zake,
Hivyo hii kitu ni uzushi.
Mtikila wA siku hizi ni shombo tupu.
 
Back
Top Bottom