Duh! Sasa hapo ndiopo utata unakuja, au na yy alikua ni Mtusi?- jokinglabda aliwapenda tu-joking: but nasikia hata ushindi wa Kabila (sr) ulikuwa facilitated na Nyerere
ka kipute kwa Iddi Amin Dada kwakuwa hakuwa wa jamii ya watutsi?, naona tuko confortable na M7 na PAKA, nao ni watuts bila shakaDuh! Sasa hapo ndiopo utata unakuja, au na yy alikua ni Mtusi?- joking
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi vitu ni hatari sana mkuu ila sijui kuna nn behind Nyerere na Watusikwahiyo tulipel
ka kipute kwa Iddi Amin Dada kwakuwa hakuwa wa jamii ya watutsi?, naona tuko confortable na M7 na PAKA, nao ni watuts bila shaka
Yeye si alikuwa mtusi naskia just jokingHahah!!
Kwamujibu wa main post hapo, nilitaka kujua Nyerere alifanya yote hayo kwa Watusi ili iweje au anauhusiano gani nao?
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana lakini maana sioni kama kuna malipo yoyote aliotarajia kutoka kwao ila ni joking tuYeye si alikuwa mtusi naskia just joking
naona GT wengi tunatoa malalamiko tu , tutoe sasa na mapendekezo ya solution, mi napendekeza tuvunje EAC kisha tuunganishe Tanzania, Burundi na Rwanda kuwa nchi moja. Burundi na Rwanda zitakuwa mikoa na their national universities vitakua vyuo vya kata- matatizo yatakuwa yameisha, hakuna tena vurugu za kagame za kuiba raslimali za kongo wala kwenda kongo kuua raia wasio na hatiakagame ni hatari sana anataka aedhi yetu maana sheria za umiliki ardhi hasa vijijini ni mbovu sana na kwenye uraia tumegeza sana kitu ambacho ni hatari kwa usalama wa nchi
Huyu mzee Mtikila serikali huwa inampuuza na kumwona kama hamnazo vile lakini kiukweli mambo ambayo huwa anayatoa ni kweli tupu!
Kagame na Mseveni lao ni moja...kumega ardhi ya Tanzania yaani mkoa wa Kagera uende Uganda na Kigoma uende Rwanda! kila mwaka mseveni anasogeza mpaka wake kuingia ardhi ya Tz. beacons za mpaka zimeng'olewa, waganda wanalima katika ardhi yetu na wanamiliki kuwa ni mali yao! Kagame yeye anaruhusu wafugaji wa nchi yake kuingiza ng'ombe katika misitu ya hifadhi ya nchi yetu. kagame ameruhusu wanawake wa kinyarwanda waolewe na watanzania lakini kamwe wao na watoto wanaozaliwa hawaachi asili yao. Wanasoma katika nchi yetu wanakuwa viongozi tangu ngazi za vitongoji, wanawakaribisha ndugu zao toka Rwanda. Idadi yao inaongezeka na kuwa threat kwa usalama wa TZ, but the giant Tanzania is sleeping!
Mkitaka kujua Kagame na Mseveni lao ni moja na wako against Kikwete tafakari hili. Hivi karibuni baada ya serikali yetu kupitia Waziri Membe kutoa tamko dhidi ya wapiganaji wa M23 kwamba tutapeleka majeshi yetu DRC Kagame na Mseveni waligoma kuhudhuria hafra moja ya EAC huko Arusha. walituma wawakilishi wao tu!
Our dear President Kikwete and TISS wake up and ACT now! sisi tunaweza tukafa leo lakini tukawaachia matatizo watoto na wajukuu wetu kesho!
nna sasa ni hatari zaidi maana sasa tunaona kwenye mitandao vita dhidi ya watutsi, na tunashuhudia vita huko mashariki ya DRC ambapo watutsi wanasemwa kuwa mstari wa mbele kutaka kupanua hima empire. mahisi kuchanganyikiwaHizi vitu ni hatari sana mkuu ila sijui kuna nn behind Nyerere na Watusi
Sent using Jamii Forums mobile app
Forsure!! Mtandaoni kati ya issue kubwa zinazo trend hii pia ni moja wapo na ndio sababu ya mm kuutafuta huu uzi ili niyajue haya mambo japo kidogo, sasa mwisho wake cjui n nn tu?nna sasa ni hatari zaidi maana sasa tunaona kwenye mitandao vita dhidi ya watutsi, na tunashuhudia vita huko mashariki ya DRC ambapo watutsi wanasemwa kuwa mstari wa mbele kutaka kupanua hima empire. mahisi kuchanganyikiwa
Mwisho siyo mzuri mkuu.Forsure!! Mtandaoni kati ya issue kubwa zinazo trend hii pia ni moja wapo na ndio sababu ya mm kuutafuta huu uzi ili niyajue haya mambo japo kidogo, sasa mwisho wake cjui n nn tu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikwel maana Ata kama yaliyosemwa humu hayana ukweli ila tayar tunachuki zishajijenga ndani yetu
Nikweli mkuu ila hili jambo lina ukweli mkubwa sana. Ukikumbuka kwenye huu uzi jinsi Cristophar slivyoelezea jambo la wasukuma kule Kagera na kigoma nikweli haya yanafanyika sana mkuu.Nikwel maana Ata kama yaliyosemwa humu hayana ukweli ila tayar tunachuki zishajijenga ndani yetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni kweli inasikitisha sanaNikweli mkuu ila hili jambo lina ukweli mkubwa sana. Ukikumbuka kwenye huu uzi jinsi Cristophar slivyoelezea jambo la wasukuma kule Kagera na kigoma nikweli haya yanafanyika sana mkuu.
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Huo uzi ni mrefu sana kwakweli..... sema sijasikia Mnyalu alichokisema but I think atakua kasema kile ambacho ata ww unaweza kukisema endapo utavishwa uhusika wakeDaah..., limakala lirefu, ila nimelisoma 75%, so kagame anasemaje?
chuki tu hiyo hamna ipya mkuu wote tu waafrika hamna haja ya kutengana kwa misingi ya mipaka iliowekwa na wakoloniHii nondo niliisoma last week nikakshiwa nguvu kabisa!
yaani wanataka create dola ya kitusi
acha chuki binafsinamuunga mkono Mtikila asilimia 100 mf, cheki Idara za Serikali Police, magereza, Jwtz wakurugenzi kama aliyestaafu sengerema mwaka jana nenda SUA mwanza jiji, jamaa wa juzi aliyekuwa anatetewa na Mh, Kagasheki kule Bukoba Mh, Chagonja na na mkewe ambae kajipenyeza na na kuwaingiza jeshini ndugu wa mkewe ikapelekea kutaka kumfukuzisha jamaa mmoja wa uhamiaji kazi hadi akahamishiwa loliondo sababu alishindwa kumpatia mnyarwanda paspot shemeji ya chagonja. Juzi ng,ombe wa kinyarwanda wamekamatwa huko Ngara wakiharibu mazingira
kaa kushoto na chuki zako mzewe nan kakuzuia kununua sema huna mifugo sio kutuongopea hapa kwendraaaNimetembea Karagwe na baadhi ya sehemu tajwa, ni bayana makundi ya Ng'ombe aina ya Ankole wenye Pembe ndefu wanaharibu mazingira kwa kiasi kikubwa. Wanakotoka na nani anahusika hapo sijui mcjenitoa roho. Serikali ifanye utafiti wa kina kuokoa hali hiyo.