Mtikila: Kagame amepenyeza Wanyarwanda 35,000 Tanzania, Burigi, katika Wilaya ya Muleba

kagame ni hatari sana anataka aedhi yetu maana sheria za umiliki ardhi hasa vijijini ni mbovu sana na kwenye uraia tumegeza sana kitu ambacho ni hatari kwa usalama wa nchi
naona GT wengi tunatoa malalamiko tu , tutoe sasa na mapendekezo ya solution, mi napendekeza tuvunje EAC kisha tuunganishe Tanzania, Burundi na Rwanda kuwa nchi moja. Burundi na Rwanda zitakuwa mikoa na their national universities vitakua vyuo vya kata- matatizo yatakuwa yameisha, hakuna tena vurugu za kagame za kuiba raslimali za kongo wala kwenda kongo kuua raia wasio na hatia
 

MKE WA KOLOMIJE NAYE SI ANATOKA RWANDA???????
 
Hizi vitu ni hatari sana mkuu ila sijui kuna nn behind Nyerere na Watusi

Sent using Jamii Forums mobile app
nna sasa ni hatari zaidi maana sasa tunaona kwenye mitandao vita dhidi ya watutsi, na tunashuhudia vita huko mashariki ya DRC ambapo watutsi wanasemwa kuwa mstari wa mbele kutaka kupanua hima empire. mahisi kuchanganyikiwa
 
nna sasa ni hatari zaidi maana sasa tunaona kwenye mitandao vita dhidi ya watutsi, na tunashuhudia vita huko mashariki ya DRC ambapo watutsi wanasemwa kuwa mstari wa mbele kutaka kupanua hima empire. mahisi kuchanganyikiwa
Forsure!! Mtandaoni kati ya issue kubwa zinazo trend hii pia ni moja wapo na ndio sababu ya mm kuutafuta huu uzi ili niyajue haya mambo japo kidogo, sasa mwisho wake cjui n nn tu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii nondo niliisoma last week nikakshiwa nguvu kabisa!
yaani wanataka create dola ya kitusi
chuki tu hiyo hamna ipya mkuu wote tu waafrika hamna haja ya kutengana kwa misingi ya mipaka iliowekwa na wakoloni
 
acha chuki binafsi
 
kaa kushoto na chuki zako mzewe nan kakuzuia kununua sema huna mifugo sio kutuongopea hapa kwendraaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…