namuunga mkono Mtikila asilimia 100 mf, cheki Idara za Serikali Police, magereza, Jwtz wakurugenzi kama aliyestaafu sengerema mwaka jana nenda SUA mwanza jiji, jamaa wa juzi aliyekuwa anatetewa na Mh, Kagasheki kule Bukoba Mh, Chagonja na na mkewe ambae kajipenyeza na na kuwaingiza jeshini ndugu wa mkewe ikapelekea kutaka kumfukuzisha jamaa mmoja wa uhamiaji kazi hadi akahamishiwa loliondo sababu alishindwa kumpatia mnyarwanda paspot shemeji ya chagonja. Juzi ng,ombe wa kinyarwanda wamekamatwa huko Ngara wakiharibu mazingira