Hawa wazee wa political interests hawajali kitu, wanaweza ropoka chochote tu.Nachojua Kagame akitaka kuispy tz kwa lengo baya trust me atakua amefanya kitu kibaya kuliko vyote alivyofanya na ndio utakua mwisho wake.
Namnukuu marehemu mtikila........
1. Kagame amemwaga kinyama sana damu ya mamilioni ya Wahutu, ambao bado anaendelea kuwaua usiku na mchana, kuliko Adolf Hitler alivyowaua Wayahudi.
2. Kagame anaendesha mauaji dunia nzima, kwa kutumia kikosi chake maalum cha Escadron de la mort, ambacho ndicho alichotumia hata kumwangamiza Bingwa wetu wa Sheria, Hayati Profesa Jwani Mwaikusa, kwa kosa la kuweka wazi katika ICTR kwamba mtuhumiwa mkuu wa genocide katika Maziwa Makuu ni dikteta Paul Kagame. Kagame alihofia kwamba kutokana na majumuisho ya mwisho ya Mwanasheria huyo, lazima Ulimwengu ungelazimisha kukamatwa kwake na kufikishwa mbele ya Sheria.
3. Kagame akiwa na cheo cha Meja alikuwa mstari wa mbele kumwua Rais Thomas Sankara wa Burkina Faso, kule Uagadougou.
4. Kagame alikuwa Burundi kwa ushirikiano wake muhimu na Jean Bikomagu, katika mauaji ya kikatili sana ya marehemu Rais Melchior Ndadaye.
5. Kagame ndiye aliyehusika kikamilifu na utunguaji wa ndege iliyomchukua Rais Juvenal Habyarimana wa Rwanda pamoja na Rais Cyprien Ntaryamira wa Burundi.
6. Kagame analaaniwa na dunia nzima kwa kumfanyia unyama wa kutisha mwanasiasa mwanamke, shujaa Victoire Ingabire, ambaye amemtupa gerezani kwa kosa la kugombea Urais wa Rwanda akiwa Mhutu, na kosa la kuwa na kibali kwa wananchi wa Rwanda kuliko yeye aliyeloa damu ya mamilioni ya binadamu aliowaua kinyama.
7. Kagame amemwaga majasusi zaidi ya 1,000 katika Nchi yetu, wanaotumia ufisadi wa mapesa, ngono n.k katika kutengeneza mazingira ya kutekwa utawala wa nchi yetu na Watusi na hatimaye nchi yetu kuwa mkoa wa Himaya yao. Kama ilivyoelezwa juu, maelfu yao wamefanikiwa kujipenyeza katika taasisi zote nyeti za dola ya Nchi yetu. Walipoishika Uhamiaji waliitumia kujipa uraia na kukamata nafasi nyeti na ardhi yetu pia.
8. Maelfu ya majasusi wa Kagame wanajifanya wanashughulikia mizigo ya Rwanda na Uganda, wengine wanajifanya wafanyabiashara au wanatafuta kuwekeza, wengine wanajifanya wanafunzi. Lakini ukweli ni kwamba Taifa letu liko uchi kwa Kagame, kwa sababu kila tunachokifanya katika Nchi yetu kinaripotiwa Rwanda masaa 24. Katika Jiji la Dar es Salaam, Mikocheni ndiko walikojaa Wanyarwanda hao kama kwao.
Burundi na Rwanda matatizo Yao yanafahamika..ni ardhi....,na hizo mbinu za kujipanua sio Siri......
Haya yanajulikana ....na Sioni Kama yanayotokea Goma ...hayatatokea Kagera na Kigoma Kama harutaendelea kuwa macho...,Kama ni lazima kuwapa makazi hawa....tuendelee kuwapeleka mbali kabisa na mipaka,watapelekwa mikoa ya Kati Kati ....
Tuendelee kuweka makambi ya kijeshi pembezoni kwenye mapori yote yaliyotajwa.
Where do we go from here?
Hawa jamaa ni noma,hapa Tz wamo Jeshini,Polisi,Magereza,TRA,TCRA,TANESCO,PCCB,MUHAS,EWURA,DAWASCO,TISS,mpaka Task Force,wanaangalia saa tu siku moja mkuu wa majeshi atakuwa na Tutsi origin,TISS HIVYOHIVYO,PCCB NA SERIKALINI KOTE.Wameingiza watu mpaka wamefikia ngazi za ukurugenzi na ukuu wa idara.
Hamna masalia mkuu?wameondolewa kwa kusikitisha daah afadhali hawapo tena tunashukuru, maamuzi magumu wangine walikimbia saa kumi usiku hongera JK na Lowasa umeacha legacy kubwa mno
Taasisi za kiraia bado wapo wengi sana wameondelewa huko kwenye taasisi zenu za kijeshiwameondolewa kwa kusikitisha daah afadhali hawapo tena tunashukuru, maamuzi magumu wangine walikimbia saa kumi usiku hongera JK na Lowasa umeacha legacy kubwa mno
wameondolewa kwa kusikitisha daah afadhali hawapo tena tunashukuru, maamuzi magumu wangine walikimbia saa kumi usiku hongera JK na Lowasa umeacha legacy kubwa mno
Please tell that guy we're not that easy...Kumbuka Tz tumeshiriki operesheni nyiingi za ukombozi kusini mwa Africa long before huyo jamaa wa Rwanda kujulikana..Mkuu acha woga Tanzania ni Dora kubwa kushawahi kuwa na wasomali katika taasisi nyeti na wengine ni mabilionea na hatujawahi kuwa chini yao.
Au ndicho kikosi kilimuua Mchungaji😳😳😳😳kuliko Adolf Hitler alivyowaua Wayahudi. 2. Kagame anaendesha mauaji dunia nzima, kwa kutumia kikosi chake maalum cha Escadron de la mort, ambacho ndicho alichotumia hata kumwangamiza Bingwa wetu wa Sheria, Hayati Profesa Jwani Mwaikusa, kwa kosa la kuweka wazi katika ICTR kwamba mtuhumiwa mkuu wa genocide katika Maziwa Makuu ni dikteta Paul Kagame. Kagame alihofia kwamba kutokana
hatariAu ndicho kikosi kilimuua Mchungaji[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]