Mtikila: Kagame amepenyeza Wanyarwanda 35,000 Tanzania, Burigi, katika Wilaya ya Muleba

Nachojua Kagame akitaka kuispy tz kwa lengo baya trust me atakua amefanya kitu kibaya kuliko vyote alivyofanya na ndio utakua mwisho wake.
Hawa wazee wa political interests hawajali kitu, wanaweza ropoka chochote tu.
 
Natamani usiwe kweli
 
Mtikila inawezekana na yeye kakutana na mikono iliyolowa damu ya Kagame baada ya kuandika waraka huu wa kiintelejensia
 

This makes the two of us....
 

wameondolewa kwa kusikitisha daah afadhali hawapo tena tunashukuru, maamuzi magumu wangine walikimbia saa kumi usiku hongera JK na Lowasa umeacha legacy kubwa mno
 
Mpaka sasa Kuna maendeleo yoyote ya kuwapunguza au wamesharudishwa kwao wote?
Nalog off
 
Au ndicho kikosi kilimuua Mchungaji😳😳😳😳
 
Kama profesa nguli wa sheria anauawa halafu hatua paswa hazikuchukuliwa kweli serikali iliyokuwepo ni ya kizembe hamna mfano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…