Mtikila: Kagame amepenyeza Wanyarwanda 35,000 Tanzania, Burigi, katika Wilaya ya Muleba

Mtikila: Kagame amepenyeza Wanyarwanda 35,000 Tanzania, Burigi, katika Wilaya ya Muleba

du! Tanzania Tanzania mbona hubebeki? siasa tatizo, dini tatizo na haya ya watusi nayo tumo! this is not good. sitaki kuamini kama tuna national sequrity unit! du!
 
Siyo rahis kwa huyu mtawala kusikiliza wala kufuatilia hili kwa kuwa yule jamaa aliyeko ikulu sbody rweimamu inasemekana ni mnyarwanda kwa maana nyingine ni kibaraka wa akina kagame. hy empire haijaanza leo, na hawa jamaa wako kila sehemu nyeti. WATANZANIA LAZIMA TUMUUNGE MKONO MTIKILA KTIKA HILI.
 
mi nadhani sasa watanzania tuanze kufanya action km wa south africa, asiyekuwa raia au ukimuhisi kuwa sy raia ni kuua tu...
 
MENGINE YANA UKWELI NA MENGINE NI CHUKU TUUU YA WATUTSI, Me naona Kagame na Mseveni wanaiba kivyaoo ila kuhusisha sijui na serukama mara sijui nani hizo ni chuki za ziada!

usilolijua ni sawa na uck wa giza mbona haya watu tunayajua muda tu. Tena ni mazito yaone mambo hivyo hivyo juu juu. Tuna hatari cyo ndogo. Njoo huku Bukoba uone hawa washenzi wanavyowafanyia wa tz wenzetu kuna stories nyingi ambazo zinatisha.
 
huyu baba Mtikila watu wanampuuza bure kumbukeni wakati wa Mwinyi alipiga kelele sana juu ya udhalimu, ubadhirifu na uhujumu uchumi unaofanywa na wenzetu wahindi. Serikali ya majambazi ya CCM na kwa ujinga wa baadhi yetu tulimuona mchochezi. Chonde chonde wa tz tupendane hapa tulipo tuna maadui wengi sana. Inauma kwa kweli.
 
Article hii inapingana kwa sehemu kuhusu MTIKILA

Source:Tutsi international power

[TABLE="width: 545"]
[TR]
[TD]Hi Brothers and Sisters!

What do you think about this document?

Cariton Kubwabo
09/29/98 12:37 PM

TUTSI INTERNATIONAL POWER

UDC Newsletter obtained the following document whose content cannot be ignored. Its English translation is reproduced as received.

REPUBLIC OF RWANDA
MINISTER OF NATIONAL DEFENSE
DEPARTMENT OF STRATEGIC PLANNING (KIGALI)

To the attention of T.I.P. members in Great Lakes Region

Ref: Urgent and appropriate measure of the safeguard of our project

When we met in Kisoro (Uganda) from 03 to 05 June 1997 just after our victory which led to the fall of dictator Mobutu, we underlined the necessity to strengthen our undertaking by posting our best human resources in services dealing with security, economics, finance and administration, particularly in the Province of North Kivu which is an integral part of our homeland. This strategy is supposed to make easy our control of the Democratic Republic of Congo and to consolidate further our influence in the Great Lakes Region.

In fact, Zaire was the missing link in ensuring that we attain total power control in the Indian basin with the exception of Kenya and Tanzania where power is still in the hands of our enemies. However, Kenya will not be able to resist for a long time given the internal
pressures exerted by our Ugandan, Ethiopian and Eritrean brothers who are determined to continue until victory is obtained. As far as Tanzania is concerned, our Masai brothers have not yet gained enough political and military influence to start a liberation struggle as have done our friends in Kenya. We must analyze together what should be done to stop
Mwalimu Nyerere who, clearly, intends to sabotage our hegemonic plans and who is actively seeking the removal of our Burundian brother, Major Buyoya. And furthermore, the tanzanian government openly supports Nyangoma and the INTERAHAMWE of General Bizimungu who are responsible for genocide in burundi and Rwanda.

While waiting for concrete proposals that will be submitted for appoval at Mbarara (Uganda) meeting, to be held from 17 to 19 July 1997, we must remind the Team Leaders from the Democratic Republic of Congo to be vigilant day and night because Kabila is Lumumbist. And you well know that Lumumbists are Nationalists. They might one day rebel against us and chase us from Congo. Congolese are like Hutus. Tey are ungrateful.
That is why we strongly ask the Gouvernor of North Kivu, Kanyamuhanga Gafungi and our brothers Ngezayo Albert and Rwakabuba Shinga respectively President and Vice-President of TIP (team Leaders in the Democratic Republic of Congo, to closely work and support RPA and NRA soldiers stationed in the Democratic Republic of Congo so as to ensure the protection of our Representatives (Douglas Bugera and Bizima Karaha) witin the government.

Our soldiers must by all means neutralize the MAI MAI and INTERAHAMWE who have become a thorn for the security of our farmers in the Masisi region. We run a risk of colluting with Kabila regime to refuse the occupation of te Masisi region. The governor of North Kivu, Kanyamuanga gafundi expressed these same fears in his report.

Finally, we would like to inform you that some of our friends have began to turn their back against us and to discredit us. They call us war-mongers? and even genociders?. They are threatening to withdraw their support to us. We must urgently find strategies to deal with this situation.

Long life to TIP

N.B: TUTSI INTERNATIONAL POWER is now extended to Ethiopia and Eritrea
and should include Sudan after its liberation by John Garang.

Signed: For the current TIP Chairman
(RPF-Team-Rwanda)
Major-Doctor Ndahiro
COUNSELOR

Litofe S. Silika

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]



Mtikila amesambaza Waraka unaomtuhumu Kagame Kusambaza Wanyaranda 35,000 katika Tz na ameitaka serikali kuchukua hatua!!!
Ni jambo la Kushangaza Gvt inatumia Nguvu nyingi kulinda mpaka wa Malawi na Tanzania lakini Wamemwacha Kagame na Mseveni wakipenyeza Wanyarwanda 35,000 na wamehesabiwa katika sensa huku wakiendelea kuwatesa Raia!

Ni Ujinga mkubwa kuona kwamba Wanyarwanda wengi wameshaghushi Vyeti vya uraia na wengine wameanzisha makanisa kama alivyo Askofu Mulileghe Mkombo Kutoka DRC lakini Serikali badala ya kushughulika na Watu hao , inageuka na kuwatesa viongozi wa dini wanao pinga ufisadi ndani CCM na kuwakumbatia watu kama Mkombo ati kwa sababu anaombea viongozi wa Kitaifa!!!

Suala la kujiuliza ni Watanzania wangapi wanaweza kwenda Rwanda na kushika madaraka ra Serikali ya Rwanda na kuingiza mifugo huku wakitukana serikali ya Kagame???
Kama Wahutu wenye uraia wa Rwanda wamenyongwa kwa kuanzisha vyama vya upinzani sembuse Watanzania kuishi Rwanda???
Serikali itazame jambo hili kwa makini ikifikia Kagame na Joyce Banda wakaungana tunaweza kupata matatizo Makubwa!!!
Soma Waraka Wake Hapa:
 
Mtikila amesambaza Waraka unaomtuhumu Kagame Kusambaza Wanyaranda 35,000 katika Tz na ameitaka serikali kuchukua hatua!!!
Ni jambo la Kushangaza Gvt inatumia Nguvu nyingi kulinda mpaka wa Malawi na Tanzania lakini Wamemwacha Kagame na Mseveni wakipenyeza Wanyarwanda 35,000 na wamehesabiwa katika sensa huku wakiendelea kuwatesa Raia!

Ni Ujinga mkubwa kuona kwamba Wanyarwanda wengi wameshaghushi Vyeti vya uraia na wengine wameanzisha makanisa kama alivyo Askofu Mulileghe Mkombo Kutoka DRC lakini Serikali badala ya kushughulika na Watu hao , inageuka na kuwatesa viongozi wa dini wanao pinga ufisadi ndani CCM na kuwakumbatia watu kama Mkombo ati kwa sababu anaombea viongozi wa Kitaifa!!!

Suala la kujiuliza ni Watanzania wangapi wanaweza kwenda Rwanda na kushika madaraka ra Serikali ya Rwanda na kuingiza mifugo huku wakitukana serikali ya Kagame???
Kama Wahutu wenye uraia wa Rwanda wamenyongwa kwa kuanzisha vyama vya upinzani sembuse Watanzania kuishi Rwanda???
Serikali itazame jambo hili kwa makini ikifikia Kagame na Joyce Banda wakaungana tunaweza kupata matatizo Makubwa!!!
Soma Waraka Wake Hapa:

TISS inatakiwa kujibu. Watapuuza ila mengne yana ukweli.
 
Nahisi harufu ya damu nikisikia neno mtusi.hapa Arusha ni wengi na ni kweli wameanzisha makanisa,muda si mrefu tutaanza kula nyama zao.
 
ASANTE SAANA SANA kwa hii Analysis Mkuu.... mitanzania mingine inapelekwa tuuuu!! umeongea la maana saaaana
hakuna cha maana hapo.......mnajisikia raha sana kuipeleka mitanzania kama unavyoiita......wataamka kama mtwara
 
Mtikila ana hasira na kabila la Tutsi kwani mke wake ni kabila la Hutu, je ? Ni kweli kuwa waliopo ni Watutsi tuu? Hakuna Wahutu? Ukabila ni ukaburi tuu...
 
Mtikila yuko sahihi kabisa ispokua kuna watu humu jf wamejaa ucristo sana, hasa ktk kashfa hiyo kuusishwa makanisa kufanyia vikao vya kidhalim, kutajwa mapadri kuusika na mauwaji ya wafanya kazi wao pia mlolongo wote kuwahusu wakristo kwa%100. Hicho tu ndicho kinawafanya wengine wampinge mtikila. Wao walitegemea atajwa Ponda, Uamsho, hapo oooh wangemuunga mkono! Tubadike tuchukue hatua lasivyo nchiyetu itachukuliwa na watuts. Shukrani mchungaji mtikila mungu akujaze nguvu uwendeze harakati za kizalendo
inaonekana unapenda sana mada za udini .....mbona hakuna aliyewatetea hao wachungaji.....bakwata si wanadai Ponda ni Mrundi kwa hiyo si ajabu akawa mmoja wao
 
Inasikitisha sana yaani, watu wanasahau ukweli kwamba kihistoria tanganyika, rwanda na burundi ziliwahi kuwa nchi moja, chini ya mamlaka moja ndani ya nchi ikiitwa German East Africa??
ziliwahi lakini sasa sio.........ukitumia kigezo hicho hata africa ilikuwa nchi moja ya mipaka baada ya kutaniko la Berlin
 
Back
Top Bottom