Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe KIM KADARSH nadhani ni moja wapo !!!!
Xenophobia is creeping in.
No problem so matter we combating criminal people against our country.
Kwa nini wao wanahujumu nchi yetu?
MENGINE YANA UKWELI NA MENGINE NI CHUKU TUUU YA WATUTSI, Me naona Kagame na Mseveni wanaiba kivyaoo ila kuhusisha sijui na serukama mara sijui nani hizo ni chuki za ziada!
Karibuni ndugu zetu Watutsi Tanzania ni kwenu pia
Mtikila amesambaza Waraka unaomtuhumu Kagame Kusambaza Wanyaranda 35,000 katika Tz na ameitaka serikali kuchukua hatua!!!
Ni jambo la Kushangaza Gvt inatumia Nguvu nyingi kulinda mpaka wa Malawi na Tanzania lakini Wamemwacha Kagame na Mseveni wakipenyeza Wanyarwanda 35,000 na wamehesabiwa katika sensa huku wakiendelea kuwatesa Raia!
Ni Ujinga mkubwa kuona kwamba Wanyarwanda wengi wameshaghushi Vyeti vya uraia na wengine wameanzisha makanisa kama alivyo Askofu Mulileghe Mkombo Kutoka DRC lakini Serikali badala ya kushughulika na Watu hao , inageuka na kuwatesa viongozi wa dini wanao pinga ufisadi ndani CCM na kuwakumbatia watu kama Mkombo ati kwa sababu anaombea viongozi wa Kitaifa!!!
Suala la kujiuliza ni Watanzania wangapi wanaweza kwenda Rwanda na kushika madaraka ra Serikali ya Rwanda na kuingiza mifugo huku wakitukana serikali ya Kagame???
Kama Wahutu wenye uraia wa Rwanda wamenyongwa kwa kuanzisha vyama vya upinzani sembuse Watanzania kuishi Rwanda???
Serikali itazame jambo hili kwa makini ikifikia Kagame na Joyce Banda wakaungana tunaweza kupata matatizo Makubwa!!!
Soma Waraka Wake Hapa:
Mtikila amesambaza Waraka unaomtuhumu Kagame Kusambaza Wanyaranda 35,000 katika Tz na ameitaka serikali kuchukua hatua!!!
Ni jambo la Kushangaza Gvt inatumia Nguvu nyingi kulinda mpaka wa Malawi na Tanzania lakini Wamemwacha Kagame na Mseveni wakipenyeza Wanyarwanda 35,000 na wamehesabiwa katika sensa huku wakiendelea kuwatesa Raia!
Ni Ujinga mkubwa kuona kwamba Wanyarwanda wengi wameshaghushi Vyeti vya uraia na wengine wameanzisha makanisa kama alivyo Askofu Mulileghe Mkombo Kutoka DRC lakini Serikali badala ya kushughulika na Watu hao , inageuka na kuwatesa viongozi wa dini wanao pinga ufisadi ndani CCM na kuwakumbatia watu kama Mkombo ati kwa sababu anaombea viongozi wa Kitaifa!!!
Suala la kujiuliza ni Watanzania wangapi wanaweza kwenda Rwanda na kushika madaraka ra Serikali ya Rwanda na kuingiza mifugo huku wakitukana serikali ya Kagame???
Kama Wahutu wenye uraia wa Rwanda wamenyongwa kwa kuanzisha vyama vya upinzani sembuse Watanzania kuishi Rwanda???
Serikali itazame jambo hili kwa makini ikifikia Kagame na Joyce Banda wakaungana tunaweza kupata matatizo Makubwa!!!
Soma Waraka Wake Hapa:
hakuna cha maana hapo.......mnajisikia raha sana kuipeleka mitanzania kama unavyoiita......wataamka kama mtwaraASANTE SAANA SANA kwa hii Analysis Mkuu.... mitanzania mingine inapelekwa tuuuu!! umeongea la maana saaaana
chambo cha wanawake zao (the Tutsi sexual diplomacy).watanzania ni watu wa kulalamika tu,wengine apa tuna wachumba wa kitusi
inaonekana unapenda sana mada za udini .....mbona hakuna aliyewatetea hao wachungaji.....bakwata si wanadai Ponda ni Mrundi kwa hiyo si ajabu akawa mmoja waoMtikila yuko sahihi kabisa ispokua kuna watu humu jf wamejaa ucristo sana, hasa ktk kashfa hiyo kuusishwa makanisa kufanyia vikao vya kidhalim, kutajwa mapadri kuusika na mauwaji ya wafanya kazi wao pia mlolongo wote kuwahusu wakristo kwa%100. Hicho tu ndicho kinawafanya wengine wampinge mtikila. Wao walitegemea atajwa Ponda, Uamsho, hapo oooh wangemuunga mkono! Tubadike tuchukue hatua lasivyo nchiyetu itachukuliwa na watuts. Shukrani mchungaji mtikila mungu akujaze nguvu uwendeze harakati za kizalendo
ziliwahi lakini sasa sio.........ukitumia kigezo hicho hata africa ilikuwa nchi moja ya mipaka baada ya kutaniko la BerlinInasikitisha sana yaani, watu wanasahau ukweli kwamba kihistoria tanganyika, rwanda na burundi ziliwahi kuwa nchi moja, chini ya mamlaka moja ndani ya nchi ikiitwa German East Africa??