Mtikila: Kagame amepenyeza Wanyarwanda 35,000 Tanzania, Burigi, katika Wilaya ya Muleba

Mtikila: Kagame amepenyeza Wanyarwanda 35,000 Tanzania, Burigi, katika Wilaya ya Muleba

We kweli umezeeka, kwahiyo jozee kabila ni mnyaruanda, ww ni feki kweli wewe, kama hujui joZee ni mbembe, na jk mwenyeji wa mkoa wa pwan,
 
Katika Mikakati Iliyofanywa Na Wanyarwanda Kwa Mda Mrefu Sasa, Kuna Kila Dalili Za Watu Hao Jamii Ya Watutsi Kutimiza Lengo Lao La Miaka Mingi La Kuitawala Afrika Mashariki Na Kati. Kwasasa Wameshaitawala Congo( Joseph Kabila), Tanzania( Awamu Ya Kwanza Na Hii Ya Sasa, Ila Ya Sasa Ni Mhutu), Uganda ( Museven Kaguta Joweri)... Inasemekana Kwamba Mpango Huu Ni Endelevu, Hata Hapa Tz Inasemekana Kuna Sekta Nyeti Zimeshakamatwa Na Watutsi.. Hao Ndo Watutsi, Wayahudi Wa Afrika..

Are you alright?
 
Halafu wakishaishika wanawaua wote wasio watutsi au inakuwaje? Nini hasa malengo yao baada ya kuishika Afrika Mashariki?
 
Achaneni na huyu mtoto ni ms€nge sana post zake nyingi ni kuwasifia watutsi tu sijui wanampiga miti au vipi hilo anajua mwenyewe.
 
eti mwalimu alikuwa mtutsi! Hii bonge la komedi, mbona "mtutsi" kabila kashirikiana na "mhutu" JK kuwapiga watutsi wa M23?
 
Ye mwenyewe anaweza akawa mtutsi mana anajina la kinyaruanda mahoro maana yake amani, sasa anaweza akawa mnyaru tutsi faken pipo, wanaujinga hawa watu, bora uishi na muhutu kuliko mtusi,
 
mada yako nzuri lakini ipange upya. nanyi wakosoaji msikosoe kwa matusi, hii ndo shida ya kimaadili iliyopo sasa. jenga hoja na si kumtukana mtu.
 
Katika Mikakati Iliyofanywa Na Wanyarwanda Kwa Mda Mrefu Sasa, Kuna Kila Dalili Za Watu Hao Jamii Ya Watutsi Kutimiza Lengo Lao La Miaka Mingi La Kuitawala Afrika Mashariki Na Kati. Kwasasa Wameshaitawala Congo( Joseph Kabila), Tanzania( Awamu Ya Kwanza Na Hii Ya Sasa, Ila Ya Sasa Ni Mhutu), Uganda ( Museven Kaguta Joweri)... Inasemekana Kwamba Mpango Huu Ni Endelevu, Hata Hapa Tz Inasemekana Kuna Sekta Nyeti Zimeshakamatwa Na Watutsi.. Hao Ndo Watutsi, Wayahudi Wa Afrika..

Wewe umefufukia wapi,acha mawazo mfu,kwaiyo USA inatawaliwa na mjaruo? acha kubagua watu kutokana na asili zao,bungeni kuna mbunge anaitwa Obama,kwaiyo huyu ni mkenya? acha fikra mfu,watu wenye mawazo kama yako,ndio chanzo cha matatizo mengi duniani,mkoa wa kagera wapo wengi wenye asili ya kitusi,sasa utawafukuza wote,
 
Katika Mikakati Iliyofanywa Na Wanyarwanda Kwa Mda Mrefu Sasa, Kuna Kila Dalili Za Watu Hao Jamii Ya Watutsi Kutimiza Lengo Lao La Miaka Mingi La Kuitawala Afrika Mashariki Na Kati. Kwasasa Wameshaitawala Congo( Joseph Kabila), Tanzania( Awamu Ya Kwanza Na Hii Ya Sasa, Ila Ya Sasa Ni Mhutu), Uganda ( Museven Kaguta Joweri)... Inasemekana Kwamba Mpango Huu Ni Endelevu, Hata Hapa Tz Inasemekana Kuna Sekta Nyeti Zimeshakamatwa Na Watutsi.. Hao Ndo Watutsi, Wayahudi Wa Afrika..

Una matatizo uptairs. Obama kuwa Rais wa Marekani haina maana wajaluo wa Kenya/Tanzania wanatawala US. Hakuna popote panapoonesha Nyerere alitumikia maslahi ya Rwandwa akiwa Rais wa Tanzania katika miaka yake 23 ya urais na wala hakuna ushahidi wowote kwamba Nyerere ni mtutsi. Kikwete si mhutu wala hana nasaba kutoka Afrika ya kati. Usijaribu kujenga picha kwamba viongozi wa nchi hii ni mamluki il-hali si kweli. Wanyarwanda acheni ndoto za mchana, jengeni kanchi kenu msihangaikie ndoto msiyomudu.
 
we una mekewa. Unajichanganya tu. Sasa inakuaje JK unayesema ni mhutu aungane na Kabila ambaye ni mtusi wawapige m23 ambao ni wanyarwanda wa kitusi na mpaka PK akasirike amtukane JK!?
 
Katika Mikakati Iliyofanywa Na Wanyarwanda Kwa Mda Mrefu Sasa, Kuna Kila Dalili Za Watu Hao Jamii Ya Watutsi Kutimiza Lengo Lao La Miaka Mingi La Kuitawala Afrika Mashariki Na Kati. Kwasasa Wameshaitawala Congo( Joseph Kabila), Tanzania( Awamu Ya Kwanza Na Hii Ya Sasa, Ila Ya Sasa Ni Mhutu), Uganda ( Museven Kaguta Joweri)... Inasemekana Kwamba Mpango Huu Ni Endelevu, Hata Hapa Tz Inasemekana Kuna Sekta Nyeti Zimeshakamatwa Na Watutsi.. Hao Ndo Watutsi, Wayahudi Wa Afrika..

JK ni ------ sasa ukisema ni mhutu nashangaa inamaana babu zake waliotokea Urundi-Uruanda?
 
Back
Top Bottom