Mtikila: Kuna CHADEMA MBILI - 'CHADEMA Chumbani' na 'CHADEMA Sebuleni'

Mtikila: Kuna CHADEMA MBILI - 'CHADEMA Chumbani' na 'CHADEMA Sebuleni'

Mtikila yu sahihi kabisa alichokisema ndicho kilichopo, hiki chama hakijakaa kitaifa hata kidogo kimekaa kikabila zaidi. Hii ni CHAGGA DEVELOPMENT MANIFESTO ambayo ndiyo inaongozwa na Mtei na wazee wengine wa kichagga. Hapa Mtei hutoa maagizo ya CHADEMA chumbani ambayo hufanyiwa kazi na akina Mbowe. Mnamuona Mtikila amevulugwa lakini alichokinena ni ukweli mtupu.
.........
 
Watoto wa 2000 poleni, hizi thread mnazutumwa kuzipakia upya humu kweli basi hamumjui marehemu Mtikila vizuri. Muulizeni Mzee Giafar Beda wa Badr East Africa kwamba marehemu Mtikila alikuwa anaenda kufanya nn kwenye ofisi yake pale alhamza na Kwa alikuwa akiwaita magabacholi kipindi kile
Nje ya mada,,,nisadie jambo moja iv pale alhamza kulikua nn au ilikua nn,,,maana kipind nakua nilikua nasikia ilo jina na kupita pale,,Leo nimesoma hii comment nimekumbuka,,mm nimekulia buguruni kwa mnyamani ila miaka ya 2003 kuja juu nilikua sina ufaham na ilo jina
 
Huyu mzee ni kati ya wale wazee wachumia tumbo, kila kukicha na mafaili yake mahakamani, hadi wale makarani wa mahakamani wameshakachoka haka ka dingi. kesi haziishagi miaka nenda rudi.
Aisee, hii ndio shukran wanayolipwa waliojitolea kupambania haki za kikatiba za watanzania, dharau na kejeli
 
Back
Top Bottom