PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 11,689
- 25,848
Vipi maoni yako ya sasa kuhusu DP kutofanya uchaguzi kipindi kile?Chama chake cha DP ni kama upatu wa yeye na mkewe,
Tangu wasajiliwe hawajawahi kufanya uchaguzi, mtikila ni mwenyekiti wa maisha wa DP,
Mtikila nihuni na ni tapeli wa kimataifa aliyejificha kwenye mgongo wa siasa nchini,
Je, una maoni mapya?