Mtelekezwa
Senior Member
- Feb 6, 2012
- 109
- 24
acha majungu wewe. kaoneshe demokrasia yako kwenye poll hapo juu ili kumpa nguvu huyo msaliti.
kura ziko wazi sahihi, kosa au huna uhakika. mengine majungu tu...
Katibu mkuu mkewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
acha majungu wewe. kaoneshe demokrasia yako kwenye poll hapo juu ili kumpa nguvu huyo msaliti.
kura ziko wazi sahihi, kosa au huna uhakika. mengine majungu tu...
Uyo nae ----- tu,miaka chungu nzima chama chake hakikui,anabaki kujadili vyama vya wenzake.
Aliyeandika wala si mtafiti wa asasi ika abachukulia chama km kampuni nami naona upande wa zitto unafikiri cdm iko kibiashara eti mkishindwa kuelewsna mgawane km hisa za kampuni. Mtafiti hutoa suluhu sio kuendekeza kuvunjika kwa kilichopobja kugawana basi mwandishi huyu atakuwa broker. Naamini mwandishi huyu anaakusi mawazo ya akina zitto. Binafsi ni mdau km hivyo nami niende kudai mchango wsngu hii haipo na haitakuwepo. Cdm iko imara na danage iluyodhaniwa haijawa kinachotokea ji kuhamaki huko ndio inasababisha kutapatapa kwa zitto maana damage control imekuwa kubwa so risk ya chama akiondoka imekuwa ndogo tena kosa kubwa ambalo amefanya na kum fãnya sasa asihurumiwe tena ni hicho kwenda mahakamani big mistake and miscalculations. Mhimu km hajalipwa in few weeks tutaona ukweli utakapodhihiri.bkm statementvyake moja sikubmoja ya kuwa we have to trust institution not people hii inamrudia km alidhani inawadhuru wenzake tu sasa inamrudisha kwao. Basically cdm made a mistake to delay but yes time bado ni sahihi ili tusonge
Wee umeandika nini? Ni lugha gani umetumia? Maana duu naona Kama jongoo kapita, kiingereza si kiingereza yaani full mbwembwe!
Kama wanachama wenyewe wa CDM ndio hawa basi kazi mmnayo!
Mimi sitaki CDM yeyote ile kwani zote ni maangamizi, Mambo mazuri yako CCM tu kwingineko ni VIVULI TUPU
Wee umeandika nini? Ni lugha gani umetumia? Maana duu naona Kama jongoo kapita, kiingereza si kiingereza yaani full mbwembwe!
Kama wanachama wenyewe wa CDM ndio hawa basi kazi mmnayo!