.........Mtikila yu sahihi kabisa alichokisema ndicho kilichopo, hiki chama hakijakaa kitaifa hata kidogo kimekaa kikabila zaidi. Hii ni CHAGGA DEVELOPMENT MANIFESTO ambayo ndiyo inaongozwa na Mtei na wazee wengine wa kichagga. Hapa Mtei hutoa maagizo ya CHADEMA chumbani ambayo hufanyiwa kazi na akina Mbowe. Mnamuona Mtikila amevulugwa lakini alichokinena ni ukweli mtupu.
......Waraka wa ChaCha Wangwe umenitoa machozi,kiukweli sijawai kuwa na imani na mbowe
Hatari sana.CHADEMA CHUMBANI ni ya wateule wachache wakati CHADEMA SEBULENI ni wafuata mkumbo akina Lissu
....,.movement for change should start within chadema
πππChadema ni ile ile
Kama sio mpare au mchaga lazima upate tabu sana kupata nafasi ndan ya chama
mkumbusheni upupu wake na mwambieni aogope sana Mungu na teknolojia. maandiko yake yamehifadhiwaYericko Nyerere njoo usome comment yako hii kuhusu chama cha DP. Halafu ulinganishe na unachokitetea hivi Sasa.
Nisamehe kaka, labda ni kweli umenizidi umri, tusiwajibu vibaya watu waliokuzidi umri, AsanteImbecile !!
Nje ya mada,,,nisadie jambo moja iv pale alhamza kulikua nn au ilikua nn,,,maana kipind nakua nilikua nasikia ilo jina na kupita pale,,Leo nimesoma hii comment nimekumbuka,,mm nimekulia buguruni kwa mnyamani ila miaka ya 2003 kuja juu nilikua sina ufaham na ilo jinaWatoto wa 2000 poleni, hizi thread mnazutumwa kuzipakia upya humu kweli basi hamumjui marehemu Mtikila vizuri. Muulizeni Mzee Giafar Beda wa Badr East Africa kwamba marehemu Mtikila alikuwa anaenda kufanya nn kwenye ofisi yake pale alhamza na Kwa alikuwa akiwaita magabacholi kipindi kile
Aisee, hii ndio shukran wanayolipwa waliojitolea kupambania haki za kikatiba za watanzania, dharau na kejeliHuyu mzee ni kati ya wale wazee wachumia tumbo, kila kukicha na mafaili yake mahakamani, hadi wale makarani wa mahakamani wameshakachoka haka ka dingi. kesi haziishagi miaka nenda rudi.
Uzi unaishiWaraka wa ChaCha Wangwe umenitoa machozi,kiukweli sijawai kuwa na imani na mbowe