Mtikisiko wa Usajili: Yanga yasema Jiji kutikisika leo

Mtikisiko wa Usajili: Yanga yasema Jiji kutikisika leo

Sindano inawaingia taratibu,wanajifanya wanatucheka sisi kusajili kama vile hakuna timu inayosajili vile,hawa uwa wanatuvizia tukimtaka mchezaji wao wanamuwahi,sasa hivi kila tunaemtaka ni wa kununua sio free agent,wameishiwa pumzi

Muda wenu wa kufurahi huu
Ngoja tuone
 
Back
Top Bottom