Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
Au yale mashati ya maua maua, sijawah kuyaelewa.Mwanaume na shat la kitenge mmmm hatuwez ongozana kwanza lazima nitaichoma makusudi na pasi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au yale mashati ya maua maua, sijawah kuyaelewa.Mwanaume na shat la kitenge mmmm hatuwez ongozana kwanza lazima nitaichoma makusudi na pasi
😀😀😀😀😀Itakuwa umefananisha na kule migombani mtani😄
Sasa tutawezena kweli mimi nashona wote hadi watoto🤣Jpili huwa nakaa mahali basi mtu na mke wanapita mke kavaa gauni kitenge mme shati kitenge, kilichobaki ndio kimemfungia mtoto mgongoni.....kiukweli sijui hata huwa nacheka nini, ila huwa nacheka
Dah Mungu atakupa wa kufanana naweSasa tutawezena kweli mimi nashona wote hadi watoto🤣
🤣🤣🤣 ukute amevaa alafu akupe hi mbele ya kadamnasi 😅🤣🤣 huwa naangalia mbali kama sijamsikiaAu yale mashati ya maua maua, sijawah kuyaelewa.
Mi nataka shati kama shati, hizi za mwamposa hapana kwangu
Huendi mbinguni mkuu...😝Mwanaume na shat la kitenge mmmm hatuwez ongozana kwanza lazima nitaichoma makusudi na pasi
Walokole ndio zao hizo. Kwanza anakulazimisha uokoke, halfu anakushonesha shati la kitenge sare na yeye tatu anahakikisha huna mawasiliano mazuri na ndugu zako nne anakontroo mshahara wako na password ya simu yako, kadi ya benki anazijua.Huwa naamini anayevaa kitenge anatawaliwa na mke wake kwa maana anamlazimisha nunua kitenge tushone sare🤣🤣🤣 natania tu bro.
😂😂🤣😅Hapo na dhani huwa ni ujumbe unafikishwa kwa mtu kuwa bado wanapendana🤣🤣🤣🤣🤣Jpili huwa nakaa mahali basi mtu na mke wanapita mke kavaa gauni kitenge mme shati kitenge, kilichobaki ndio kimemfungia mtoto mgongoni.....kiukweli sijui hata huwa nacheka nini, ila huwa nacheka
Wewe we.. nitakubadili attitude tuDah Mungu atakupa wa kufanana nawe
Ukute wamepakizana kwenye boda, na wengine haoo kwa mguu wamebeba na biblia hadi raha....😂😂🤣😅Hapo na dhani huwa ni ujumbe unafikishwa kwa mtu kuwa bado wanapendana🤣🤣🤣🤣🤣
Huendi mbinguni mkuu...😝
Umemaliza kila kituWalokole ndio zao hizo. Kwanza anakulazimisha uokoke, halfu anakushonesha shati la kitenge sare na yeye tatu anahakikisha huna mawasiliano mazuri na ndugu zako nne anakontroo mshahara wako na password ya simu yako, kadi ya benki anazijua.