Mtindo mpya Kariakoo ni kubomoa maghorofa na kujenga Mapya

Mtindo mpya Kariakoo ni kubomoa maghorofa na kujenga Mapya

Hayo maghorofa yanayojengwa ni pesa zilizofunguka Toka serikali. Mfumo wa pesa umeshashafunguka tayari Kwa wajanja wa mjini kumbuka miaka Ile ya zamani watu walikuwa wananunua nyumba za kawaida wanavunja na wanajenga maghorofa lkn sikuhizi utakuta ghorofa 7 inavunjwa inajengwa upya kisiasa zaidi..
Nipo kariakoo zaidi ya miaka 10 najua mipango mingi watu wanafanya
Nikajua upo kariakoo miaka 10 unajenga ghorofa la 4 saivi kumbe upo zako tu unajua mipango sio mbaya lakini afisa mipango
 
Ukishaona hivi jua kabisa kuna wizi mkubwa sana kwa sasa kwa wafanya biashara. Enzi za jiwe watu walisimamisha ujenzi. Kuna jamaa yangu ni supplier tu wa mfukoni alijenga nyumba tu ya kawaida vyumba 3 sebule dining msingi tu 35mil una renta chini na juu, boma 24 mil tofari ratio 20 na mchanga standart ule wa laki trip. Magu alipoingia madarakani ujenzi ukassimama
Mwingine tena ana stationery tu akawa anajenga ghorofa hoteli jamà alivoingia madarakani ujenzi ukasimama naona saiz anamalizia
 
Ukishaona hivi jua kabisa kuna wizi mkubwa sana kwa sasa kwa wafanya biashara. Enzi za jiwe watu walisimamisha ujenzi. Kuna jamaa yangu ni supplier tu wa mfukoni alijenga nyumba tu ya kawaida vyumba 3 sebule dining msingi tu 35mil una renta chini na juu, boma 24 mil tofari ratio 20 na mchanga standart ule wa laki trip. Magu alipoingia madarakani ujenzi ukassimama
Mwingine tena ana stationery tu akawa anajenga ghorofa hoteli jamà alivoingia madarakani ujenzi ukasimama naona saiz anamalizia
Sio kwamba wewe ni mpumbavu mmja?
Yaani maskini mna shida sio ndogo.
Kwamba wewe hujui habari za vyuma kukaza hazipo tena?
 
Hawatoi mfukoni kwao, ni mikopo ya benki mkuu, hata wewe ukijipanga vizuri tu unapewa mkopo ushushe kabati la maana tu..
Watakwambia ni wizi lakini pia TRA wako friendly sio kutafutana umetoka wapi pesa mara wafunge acc na upuuzi kama huo.
 
Majengo ya kariakoo ni biashara. Yanauzwa na kununulia. Watu wanakopa benki wanashindwa kulipa. Kuliko kuuzwa na benki anaamua kuliuza ili abali na balance. Mengine ni biashara kama kawaida. Mengine ya azeeka mtu hana hela ya kujenga. Sii ajabu kabisa. Kuna magorofa yana miaka 30 na zaidi sasa wenyewe wamefariki. Warithi wanataka migao. Lazima yauzwe.
Yakiuzwa lanajengwa mazuri zaidi mji unazidi kupendeza.
 
Hayo maghorofa yanayojengwa ni pesa zilizofunguka Toka serikali. Mfumo wa pesa umeshashafunguka tayari Kwa wajanja wa mjini kumbuka miaka Ile ya zamani watu walikuwa wananunua nyumba za kawaida wanavunja na wanajenga maghorofa lkn sikuhizi utakuta ghorofa 7 inavunjwa inajengwa upya kisiasa zaidi..
Nipo kariakoo zaidi ya miaka 10 najua mipango mingi watu wanafanya
Kama unajua mipango wanafanya na wewe si ufanye upate hela uache majungu
 
Kwa nini hawajengi viwanda vidogo vidogo? Sasa hizo fremu maaba yake zitapokea bidhaa kutoka china!

Hii nchi ni ngumu sana kuendelea kiviwanda
 
Hayo maghorofa yanayojengwa ni pesa zilizofunguka Toka serikali. Mfumo wa pesa umeshashafunguka tayari Kwa wajanja wa mjini kumbuka miaka Ile ya zamani watu walikuwa wananunua nyumba za kawaida wanavunja na wanajenga maghorofa lkn sikuhizi utakuta ghorofa 7 inavunjwa inajengwa upya kisiasa zaidi..
Nipo kariakoo zaidi ya miaka 10 najua mipango mingi watu wanafanya
Tozo zetu hizo jamani
 
Kiwanda kinaprosess nying sanaa
Sasa kama inasemekana wanasiasa ndio wanatupiga, kwa nini wasiwekeze kwenye viwanda kwa sababu wao ndio watunga sera?

Sasa hao wanasiasa wametunga sera na sheria nyingi ngumu za kuanzisha viwanda, ili nani ahangaike kama wao hawataki kuanzisha viwanda, na wanakimbilia kujenga maduka ya maghorofa ili yapokee bidhaa kutoka china!Je, wanasiasa wa hivyo wana-future ya nchi kweli?

Hii nchi ngumu sana kuendelea maana kila mtu anawaza kula kwa urefu wa kamba yake!
 
Back
Top Bottom