Ziltan
JF-Expert Member
- Aug 20, 2011
- 2,672
- 6,880
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mniombee
Kwa kizazi hiki tulichopo,Kwamba ke wanaihitaji sana ndoa kuliko Me tunavyoihitaji?
Akukujibu uni tagKwamba ke wanaihitaji sana ndoa kuliko Me tunavyoihitaji?
Huku tunapo elekea kuoa kutakuwa ni kitendo cha ujasiri.Kwa kizazi hiki tulichopo,
Ndoa imeshuka thamani Sana kwa wanaume.
Ni wanaume wachache Sana wanampango na ndoa.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Wanaume wengi wamekuwa dhaifu mnoooooo.Kwa kizazi hiki tulichopo,
Ndoa imeshuka thamani Sana kwa wanaume.
Ni wanaume wachache Sana wanampango na ndoa.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app