Hawajapata taarifa za kiitelejensia.Kinacho sikitisha zaidi yale mabwanyenye ya kwenye ile taasisi yakuzuia mlungula yame jazana ofisi yakisubiri yapelekewe taarifa kama hizi, huku yakiwa ubunifu na weledi wa kupambana na mlungula....
Aisee kuna limama limenikamata wiki iliyopita,kweli leseni yangu ilikuwa imeisha na mimi nilikuwa sijaiangalia, hilo kosa nikiri ni uzembe wangu, tatizo hakuwa na zile mashine zao,aliandika kwenye kidaftari akaniambia nipitie risiti kesho yake, jioni naangalia kwenye tms nakuta kaniandikia fine mbili,la leseni na mkanda😰. ..yaani babu yangu angekuwa mchawi lile limama jeusi linene lingenikoma!!!!Njoo njia ya Mbezi - Goba asubuhi ushuhudie jinsi wanavyozikusanya shs 1500/- kwa kila daladala. Kuna sehemu pana msikiti wanapaita kwa Ulomi. Yaani mpaka raha. Daladala inapigwa mkono, konda anashuka fasta kashika buku abiria mnaona, kisha anarudi fasta. KAMA UNATAKA KUONA KONDAKTA ANASALIMIANA KWA VIGANJA NA TRAFIKI NJOO HUKU. HAWAOGOPI UVIKO-19
Bora ukutane na Mzee ama jamaa lakini sio hawa wamama... Ni wagumu sana.. huchomoiAisee kuna limama limenikamata wiki iliyopita,kweli leseni yangu ilikuwa imeisha na mimi nilikuwa sijaiangalia, hilo kosa nikiri ni uzembe wangu, tatizo hakuwa na zile mashine zao,aliandika kwenye kidaftari akaniambia nipitie risiti kesho yake, jioni naangalia kwenye tms nakuta kaniandikia fine mbili,la leseni na mkanda😰. ..yaani babu yangu angekuwa mchawi lile limama jeusi linene lingenikoma!!!!
...Ubunifu😀😀,sasa huyo jamaa na yeye anapiga panga kimtindo maisha yanasonga...
hta makondakta nao huwapiga panga madereva wao humo humo bila kujua...Ubunifu😀😀,sasa huyo jamaa na yeye anapiga panga kimtindo maisha yanasonga...
Bora kutoa 1500 kuliko 30k..acha umbea mkuu.pichani ni kaka mtanashati anayejifanya muuza magazeti, hapa ni mataa ya moroko kinondoni daladala zinazotoka maeneo ya shoppers yanasimamishwa na Askari kisha kondakta ana shuka na kumalizana na na huyo kaka muuza magazeti mheshiwa alisema watoa taarifa tutalindwa hivyo sitegemei vitisho wala uzi huu kufutwa picha ya kwanza amenyoosha mkono juu kupeana ishara na Askari ambao wako upande wa mpiga picha, picha ya pili anapanga fedha alizoweka katikati ya gazeti
View attachment 1742159
View attachment 1742160
View attachment 1742161
View attachment 1742162
Tulishauri kuwe na checkpoint maalumu na hizo checkpoint ziwe na camera, hakuna mtu kuongea na askari hao mbali na ofisi ya checkpointpichani ni kaka mtanashati anayejifanya muuza magazeti, hapa ni mataa ya moroko kinondoni daladala zinazotoka maeneo ya shoppers yanasimamishwa na Askari kisha kondakta ana shuka na kumalizana na na huyo kaka muuza magazeti mheshiwa alisema watoa taarifa tutalindwa hivyo sitegemei vitisho wala uzi huu kufutwa picha ya kwanza amenyoosha mkono juu kupeana ishara na Askari ambao wako upande wa mpiga picha, picha ya pili anapanga fedha alizoweka katikati ya gazeti
Nao ni walewale tuLisemwalo lipo. TAKUKURU kama kweli wanafanya kazi basi watafanyia kazi hii na kuleta mrejesho.
Hizi mambo za kutetea uovu sio sawa kabisa, kila mtu afanye uovu kwenye nafasi yake. sijui utakuwa na hali gani hukoMi naona mapichapicha tu, huyo kondakta aliyeshuka na hela yuko wapi? mijitu mingine mna roho mbaya hata pa kuanzia hamjui!! we kwako ni msafi sana? waacheni wapate ya kiwi
We umeona uovu gani kwenye hayo mapichapicha?Hizi mambo za kutetea uovu sio sawa kabisa, kila mtu afanye uovu kwenye nafasi yake. sijui utakuwa na hali gani huko