Itovanilo
JF-Expert Member
- Jul 30, 2018
- 2,314
- 5,150
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Astagafilulahipichani ni kaka mtanashati anayejifanya muuza magazeti, hapa ni mataa ya moroko kinondoni daladala zinazotoka maeneo ya shoppers yanasimamishwa na Askari kisha kondakta ana shuka na kumalizana na na huyo kaka muuza magazeti mheshiwa alisema watoa taarifa tutalindwa hivyo sitegemei vitisho wala uzi huu kufutwa picha ya kwanza amenyoosha mkono juu kupeana ishara na Askari ambao wako upande wa mpiga picha, picha ya pili anapanga fedha alizoweka katikati ya gazeti
View attachment 1742159
View attachment 1742160
View attachment 1742161
View attachment 1742162
Pichani ni kaka mtanashati anayejifanya muuza magazeti, hapa ni mataa ya Morocco (Kinondoni) daladala zinazotoka maeneo ya Shoppers/Kawe/Msasani zinasimamishwa na Askari kisha kondakta anashuka na kumalizana na na huyo kaka muuza magazeti.
Mheshimiwa alisema watoa taarifa tutalindwa hivyo sitegemei vitisho wala uzi huu kufutwa. Picha ya kwanza amenyoosha mkono juu kupeana ishara na Askari ambao wako upande wa mpiga picha. Picha ya pili anapanga fedha alizoweka katikati ya gazeti
View attachment 1742159
View attachment 1742160
View attachment 1742161
View attachment 1742162
Kati ya Taasisi ya Hovyo ni Toakuku, yan huwa sielew utendaj kaz wao! Wanasubir uzinguane na chanel zao au na mwana siasa ndo watumike kukusumbua.Kinacho sikitisha zaidi yale mabwanyenye ya kwenye ile taasisi yakuzuia mlungula yame jazana ofisi yakisubiri yapelekewe taarifa kama hizi, huku yakiwa ubunifu na weledi wa kupambana na mlungula....
Wacha wale rushwa tu,maana serikali haiwapandishi madaraja.Haiwalipi maxeni yao.Sasa suluhisho ni kutengeneza mazingira ya kujilipa tuPichani ni kaka mtanashati anayejifanya muuza magazeti, hapa ni mataa ya Morocco (Kinondoni) daladala zinazotoka maeneo ya Shoppers/Kawe/Msasani zinasimamishwa na Askari kisha kondakta anashuka na kumalizana na na huyo kaka muuza magazeti.
Mheshimiwa alisema watoa taarifa tutalindwa hivyo sitegemei vitisho wala uzi huu kufutwa. Picha ya kwanza amenyoosha mkono juu kupeana ishara na Askari ambao wako upande wa mpiga picha. Picha ya pili anapanga fedha alizoweka katikati ya gazeti
View attachment 1742159
View attachment 1742160
View attachment 1742161
View attachment 1742162
Hapo kwa ulomi pakihuni Sana wako Police Wana vaaa kombati gari lazima zisimameNjoo njia ya Mbezi - Goba asubuhi ushuhudie jinsi wanavyozikusanya shs 1500/- kwa kila daladala. Kuna sehemu pana msikiti wanapaita kwa Ulomi. Yaani mpaka raha. Daladala inapigwa mkono, konda anashuka fasta kashika buku abiria mnaona, kisha anarudi fasta. KAMA UNATAKA KUONA KONDAKTA ANASALIMIANA KWA VIGANJA NA TRAFIKI NJOO HUKU. HAWAOGOPI UVIKO-19
usibishe bure hapa kuna kitu cha kufanyiwa kazi. picha haziwezi kutumika kama ushahidi ila wana usalama wanawezi kuweka mitego ya kuwanasaHii taarifa(picha) haina ushahidi wowote wa kuthibitisha malalamiko yako!