Mtindo wa maisha unaomea kwa vijana rijali wa kikristo kufika hadi miaka 30 bila ndoa rasmi, kuna sababu ipi wasiitwe wazinzi waliokubuhu?

Mtindo wa maisha unaomea kwa vijana rijali wa kikristo kufika hadi miaka 30 bila ndoa rasmi, kuna sababu ipi wasiitwe wazinzi waliokubuhu?

Binafsi mm ni mkristo mlutheri mtiifu!

Kila mtu yupo huru kuamua aoe lini na amuoe nan! Kama mtu hataki kuoa aachwe kama anataka kuoa aoe hii dunia kila mtu yupo huru kuamua analolitaka kikubwa asivunje sheria zilizowekwa na mamlaka

Hua nashangaa mtu unasema wanazini kwani kinachokuuma n nn? au unataka akudinye wewe? Kama kijana ana miaka 35 binti ana miaka 30 wakiridhiana wakalala Kwani we unateseka nn?
 
Ni kitu ambacho hakiwezekani kabisa kijana rijali kafika hadi miaka 30 asiwe na mwanamke, haiwezekani kabisa kwa kijana rijali mwenye afya, alie huru uraiani na anaingiza kipato asiwe na mwanamke, lakini ndio hapo sasa kuna utofauti wa waliooa na mabachela wazinzi waliokubuhu

Unakuta kijana wala hata haoni aibu anaishi na mwanamke tangu akiwa na miaka 25 hadi 30 ila hajamuoa, yeye wala haoni soo.

Wengine wanaendeleza lifestyle za kubadili badili tu wanawake, wiki hii huyu wiki ijayo yule.

Na tena hata isiwe kisingizio kwamba mahari ni kubwa au gharama za sherehe maana hata huko kwenye taasisi zenye ulaji kama TRA, BOT, NSSF, TANAPA, n,k. hii tabia ipo, kuna kaka na mdogo wake nawajua wapo humo mdogo alioa akiwa na 39 na kaka yake alioa akiwa na 43.

Kuna sababu ipi wasiitwe wazinzi waliokubuhu ?
Sijaelewa ukristo umeingiaje hapo??

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ni kitu ambacho hakiwezekani kabisa kijana rijali kafika hadi miaka 30 asiwe na mwanamke, haiwezekani kabisa kwa kijana rijali mwenye afya, alie huru uraiani na anaingiza kipato asiwe na mwanamke, lakini ndio hapo sasa kuna utofauti wa waliooa na mabachela wazinzi waliokubuhu

Unakuta kijana wala hata haoni aibu anaishi na mwanamke tangu akiwa na miaka 25 hadi 30 ila hajamuoa, yeye wala haoni soo.

Wengine wanaendeleza lifestyle za kubadili badili tu wanawake, wiki hii huyu wiki ijayo yule.

Na tena hata isiwe kisingizio kwamba mahari ni kubwa au gharama za sherehe maana hata huko kwenye taasisi zenye ulaji kama TRA, BOT, NSSF, TANAPA, n,k. hii tabia ipo, kuna kaka na mdogo wake nawajua wapo humo mdogo alioa akiwa na 39 na kaka yake alioa akiwa na 43.

Kuna sababu ipi wasiitwe wazinzi waliokubuhu ?
Wakulaumiwa sio vijana ni wazazi. Wazazi wa siku hizi wamekuwa wagense sana yani kwanza mzazi unakubali vipi mtoto wako wakiume anafika 25 hajaoa au hajaolewa. Mbaya zaidi mzazi anakubali kabisa mtoto wake wa kike ajifungilie nyumbni bila kiwa na ndoa. Wazazi wangese sana hawana maadili ata kidogo. Kuwatupia lawama vijana ni uonevu. Kwanza kuwa na mtoto mzinzi ni kuchafua jona la familia sasa siielewi baba mzina na mvi zako u akenua meno tuu. Mie toto langu nalichinja mwenyewe siwezi kuwa na mzinzi ndani ya nyumba yangu.
 
Back
Top Bottom