kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,892
- 7,780
Awamu hii ya mama tunaona juhudi kubwa kuvutia uwekezaji kutoka nchi tajiri za Mashariki ya Kati. Wakati tunahangaika kuvutia Waarabu kuwekeza inafaa kuelewa desturi yao wakiwekeza kwako.
Wao kwa maoni yangu wakiwekeza nchini kwako hawatofautishi na kununua sehemu waliyowekeza. Pia huwa wanaendesha mambo kwa desturi ya mila na dini yao badala ya kufuata sheria na kanuni za nchi mwenyeji. Tumeona mifano jinsi hawajali haki kwenye ajira kwa wale waliyowahi kufanya kazi huko kwao.
Huwa wafanyakazi wasiyokuwa wenzao hasa Waafrika wanawaona kama watumwa tu. Mfano wa uwekezaji wa UAE ni Loliondo. Tumeona jinsi kitalu cha kampuni ya UAE kimegeuzwa kama sehemu ya nchi hiyo.
Kitalu wala huwa hakiingizwi kwenye kushindaniwa, kimekuwa chao kama kile kituo cha Wamarekani cha Guantanamo kule Cuba. Midege inashuka huko kila wakati bila wananchi kuelewa nini kinaendelea. Kwa kuwa hakuna uwazi, kuna shaka mambo hayafanyiki kwa mujibu wa sheria.
Kwa hivyo tunapoendelea kuvutia uwekezaji toka nchi za Kiarabu kuna mashaka ile concept ya faida 50/50 ikawekwa pembeni na nchi kugeuzwa shamba la bibi.
Watanzania tuko macho na aina ya wawekezaji wanaoletwa awamu ya sita.
Wao kwa maoni yangu wakiwekeza nchini kwako hawatofautishi na kununua sehemu waliyowekeza. Pia huwa wanaendesha mambo kwa desturi ya mila na dini yao badala ya kufuata sheria na kanuni za nchi mwenyeji. Tumeona mifano jinsi hawajali haki kwenye ajira kwa wale waliyowahi kufanya kazi huko kwao.
Huwa wafanyakazi wasiyokuwa wenzao hasa Waafrika wanawaona kama watumwa tu. Mfano wa uwekezaji wa UAE ni Loliondo. Tumeona jinsi kitalu cha kampuni ya UAE kimegeuzwa kama sehemu ya nchi hiyo.
Kitalu wala huwa hakiingizwi kwenye kushindaniwa, kimekuwa chao kama kile kituo cha Wamarekani cha Guantanamo kule Cuba. Midege inashuka huko kila wakati bila wananchi kuelewa nini kinaendelea. Kwa kuwa hakuna uwazi, kuna shaka mambo hayafanyiki kwa mujibu wa sheria.
Kwa hivyo tunapoendelea kuvutia uwekezaji toka nchi za Kiarabu kuna mashaka ile concept ya faida 50/50 ikawekwa pembeni na nchi kugeuzwa shamba la bibi.
Watanzania tuko macho na aina ya wawekezaji wanaoletwa awamu ya sita.