Umeleta uzi hapa na umeleta vitu sensitive sana katika matokeo anayopata Yanga. Sawa sijui mpira wa Africa, wewe unayejua nataka unipe ushahidi wa huu uzi wako ukishindwa kufanya hivyo maanake unaleta uzushi na mambo ya kuhisi. Yajibu maswali yangu hapo juu, Yanga inacheza mpira unaonekana uwanjani hizo mbinu za C EO. ni zipi? Mechi ya Rivers alifanya kipi CEO nje ya uwanja? Usiwe mjinga wa stori za vijiweni kiasi hiko, Yanga imeshinda michezo hadi ya ugenini, kama ni kutegemea mipango ya nje ya uwanja wangeishia kushinda kwa Mkapa pekee. Acha hizo
Mpaka uwe na akili ndio utaelewa mtoa mada anamaanisha Nini
Kwa uelewa wako mdogo huu sitashangaa ukiwa mfuasi wa mwamposa maana hamjui kuchanganua na kung'amua
Mpira wa Africa hata uwe na Quality lazima ucheze na mechi nje ya uwanja ,
Quality+Mbinu nje ya uwanja=Mataji ya Caf
CEO wa Yanga ana uzoefu na hizi mambo toka yupo Mazembe ,
Yanga imepata Marefa watatoka Congo, Ni rahisi kumalizana nao mapema ,iwapo Yanga atatoka na mtaji wa Goli 2-3 , Kombe anabeba
Unajua hii mechi ilikuwa icheze saa 1:00 usiku ?
Sasa Yanga walishaanza mipango mapema kabisa , ilikuwa hivi Yanga alijua akipita atakutana na Pyramid
Hivo Umeme kukata mechi ya Rivers ilikuwa Ni mipango ili mechi na Pyramid ,Yanga wawe na hoja mechi ichezwe saa 10:00 jion
Bahat Akapita Marumo , Lakini advantage ya ule mpango inakuja kutumika mech na USM ALGER , tayari CAF wamewaruhusu Yanga wacheze mechi saa 10:00 jion
Kwa Quality ya Yanga plus Refa kutoka Congo, na Jua la saa 10:00 jion
Yanga ana advantage ya kupata Goli 2-3
Mechi ya Algeria ,Itachezwa saa 1:00 usiku
HIYO NDIO MIPANGO YA KUCHUKUA KOMBE LOLOTE AFRICA HII
BILA MIPANGO MWISHO NI ROBO FAINAL TU