Mtine bonge la CEO. Huyu ndio anaujua sasa mpira wa Afrika

Nani kaukdanganya SERIKALI ndio imepanga muda uwe 10:00 jion leta ushahidi


Unataka ushahidi wa figisu , ulishajiuliza ile faini aliyopigwa Yanga Ni ya nini
Umekurupuka sana, siku nyingine ujipange vizuri humu sio facebook au vijiwe vyenu vya mtaani. Angalia hiyo barua kipengele namba tatu
 
Duh watu mnajua kufukunyuq aisee
 
Unqmqanisha home pekee kama simba? Ya kina lous au? Kwa mkapa hatoki mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…