Chipukizi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 4,409
- 6,773
Bongo movies akipewa kagali ka mtumba na dola 1000,basi anajiona michael jackson.na akipita kwa shigongo akauza story mbili tatu ta kujikuza basi tena anasahau kila kitu haya ndo matokeao yako,ni msaniii yupi wa BONGO STAR SEARCH ANA MAISHA YALIONYOOKA NA YANAYOELEWEKA LEO?TAFAKARI CHUKUA ATUA
haya ya maajabu makubwa. msanii anatakiwa kufaidika na kila nakala ya kazi yake. ni makosa makubwa kuuza jumla hakimiliki ya kazi yako. nakutakia mafanikio Ndugu Mtitu endelea kuonesha njia!