Hongera ndugu kwa kuanzaa safari mpya ambayo inaonesha kweli utafika kileleni.. ukaishi maisha mazuri kwa kazi zakoo za sanaa. Endelea kujisimamia mwenyewe ili uvune zaidi mapato. Wasanii wenzako wanao kuona wewe mnafki na msaliti kwa kuikimbia kambia ya STEPS ENT. achana nao wala wasikurudishe kwenye huo ukoloni mambo leo unao endelea kuwakabili na kuwatafuna.
Nime sikitika kuona mnauza haki zenu na sijui mtajivunia nini sasa siku za usoni.??
mmeyasikia yalio mkuta saida karoli yule dada wa mziki, tabia hizo hizo za kuuza kazi zenu leo meneja wake anaenda kujiingizia pesa kirahisi na kutajirika maradufu baada ya wimbo wa saida kutumika kwenye movie marekani na kwa maelezo ya meneja anajianda kudai alipwe kutokana na wimbo huo kutumika na kwa upande wa saida hana haki na wimbo huo kwa kua alisha uza album kwa meneja kwahiyo saida kupata kidogo kwa kile atakacho lipwa meneja ita tegemeana na mapenzi ya meneja mwenyewe. Maskini dada wa watu kachambua kama karanga mpaka marekani leo hii apati kitu..!!!!?
Bongo movie nako kumbe mambo hivyo hivyo, mnauza kazi zenu jumla mwisho wasiku mnabaki maskini.
Nawaonea huruma ingawa na nyie mnatuibia wananchi pesa zetu kwa kutu tolea movie mbovu mbovu, hamna uharisia,kazi hazina ubora. Basi uwizi tu.