pantheraleo
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 692
- 880
Hóngera umepata shamba utalima utavuna utapalilia wajukuu watalikuta huo ndio mpango kwa wenye mawazo yaliyofunguka
kweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hóngera umepata shamba utalima utavuna utapalilia wajukuu watalikuta huo ndio mpango kwa wenye mawazo yaliyofunguka
Wanajamvi Naomba kujua filamu mtitu aliyoigiza hata moja tuu maana mimi namfahamu kama msambazaji na siyo msanii wa filamu
Wanajamvi Naomba kujua filamu mtitu aliyoigiza hata moja tuu maana mimi namfahamu kama msambazaji na siyo msanii wa filamu
Mtitu na wewe usiwanyonye wenzako.
Kwa hiyo mtitu na yeye si msambazaji?amesambaza kazi kadhaa za kanumba na wengineo wengi, je ananua haki zote za wasanii katika filamu au kuna makubaliano tofauti?mbona hujaliweka hili wazi?
Kumbe mnakwendaga ikulu kujadiliana na mkulu mambo ya bongo movie?
Very cheap president.
William Mtitu,
Umefanya maamuzi mazuri kusimama mwenyewe kuliko kuendelea kunyonywa, umekuwa rafiki wa kanumba kama sijakosea sasa sijui utafanya nini kuhakikisha Kampuni alio iacha inapata nafuu?
Hakika kwa maelezo yako ni wazi mama kanumba ana hitaji msaada wenu.
kumbe yale matangazo ya kupinga wizi wa kazi za wasanii....... kazi zenyewe sio za wasanii ni za steps.
kuanzia sasa hivi mbadili uwasilishaji wa hayo matangazo..
"kununua kazi fake ni kumwibia steps"
Tatizo la huyo mama....haitaji ushauri wa mtu.....kanumba mpaka kifo kinamkuta alimwacha ndugu yake anaitwa seti na namini set anaulewa mzuri tu wa mambo haya ya filamu lakini kil kitu anachojaribu kutoa(mawazo) huyu mama hataki na kila kitu kinachomuhusu kanumba mama hataki mtu yoyote akiulizie....hii ndio imepelekea kuuza kila kitu cha mwanae na hatimae kubaki omba omba.
Hiyo omega nini sijui niliikuta somewhr niliangalia part one tu tena nilitumia dakika 20 tu nikaimaliza mana haina hata mvuto, jitahidini kuanza na utata mwanzo wa filamu atleast kumshawishi mtu kutaman kujua nini kitafuata mfano muvi ya sarafina ilivyoanza unataman kujua sababu ya kisa kilivyoanza
Kumbe mnakwendaga ikulu kujadiliana na mkulu mambo ya bongo movie?
Very cheap president.