Mtizamo: Wachezaji wa Simba wametuchelewesha sana Taifa stars

kmmk
 
Vip na kule champions league mlipo ukalia ,Simba ndio waliwachelewesha?
 
Kuna mchambuzi flani hivi .....kasema kabisa Leo tunafingwa ....kisa zile taka taka hazijaitwa
 
Mzamiru aliupiga kwenda kwa uto ndo uto akampa Msuva...sifa ziende kwa Mzamiru 😆 😆 😆
 
Kuna watu wanapambana na ushoga lakini hata hawawajui wenye viashirio hivyo.Waongeze umakini.
 
Kabla sijasoma kabisa bandiko lako ngoja nikutukane kabisa aaah! Nimesahau tusi lenyewe
 
Nakupenda mtani wangu Bantu Lady .. ila huyu mwache tuu ayaoge my dear...huyu nyuzi zake huwa ni za kukera...
Ni kweli ya wazazi hayana afya ila ya kumchamba yeye wacha achambwe..
Kama vipi hata ye usimpende maana anatetea hamnazo.
 
Aandike ujinga asitukanwe? Acha hizo
 
Mbuzi nyingine ni hii hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…