Mtizamo: Wachezaji wa Simba wametuchelewesha sana Taifa stars

Kocha anaonekana ndio mzuri mwingine unafiki tu.
 
Kiuchambuzi....

.kuhusu mdhamiru ilikuwa tu lazima acheze vizr ....coz alizungukwa na wachezaji mafundi kutoka Yanga

NB .....ukikaa karibu na uwaridi ,....lazima unukie
Sawa mkuu [emoji120]
 
Manula alikuwa na kiwango kibovu Leo?
 
Ifahamike kwamba kuna shabiki na muumini. Mashabiki wanashabikia soka na waumini wanaabudu soka kupitia dini ya Club.
 
Mbuzi nyingine ni hii hapa
Mi ni mbuzi afadhali maana we ni nguruwe jike mwenye Mimba ya goli moja watoto 20 na mumeo ni mbwa toka iringa alietoroka kisu Cha mhehe,

nadhani hatuchekani maana tukikoswa kuchinjwa pasaka hii tunaliwa idd El fitr!

Ila we mwenzangu nguruwe sidhani kama utafika sikukuu na maza wako mama nguruwe maana weekend ishaingia wazee wa kitimoto Nina uhakika hawatakuacheni salama lazima mliwe kiboga!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…