NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
Kocha anaonekana ndio mzuri mwingine unafiki tu.Mwanzo mwisho,nmependa sana kiwango cha baka na mwamnyeto pia fundi kabisa job,kiwango bora sana kama siku zote,sijasahau ile pasi outer ya mzamiru kwenda kwa job na job akamwaga jalo safi kabisa kwa msuva.We umeona nini leo tupe uchambuzi wenye utondoti uliotukuka
Sawa mkuu [emoji120]Kiuchambuzi....
.kuhusu mdhamiru ilikuwa tu lazima acheze vizr ....coz alizungukwa na wachezaji mafundi kutoka Yanga
NB .....ukikaa karibu na uwaridi ,....lazima unukie
Manula alikuwa na kiwango kibovu Leo?Kama title inavyosema hapo juu kulingana na performance ya Leo mechi ya taifa stars vs uganda nmegundua yafuatayo:
1. Ile fighting spirit waliyonayo wachezaji wa Yanga bado imeonekana katika mechi ya Leo Kwa taifa stars
2. Kwa kujituma Kwa hawa wachezaji wa Yanga sina wasiwasi hata pale kocha atabeba kikosi chote Cha Yanga kucheza taifa stars ukiondoa wachezaji wa kigeni
3. Kuna watu walitamani tupoteze mchezo huu.......lkn wananchi wametuokoa.... performance kali ya mudathir + Dickson job ......na wengine wananchi by origin kama msuva
NB: kocha ikikupendeza toa wachezaji wote wa kolo FC except manula
View attachment 2564127
Mdo tumefunga lakiniMASHABIKI WA YANGA WOTE IKIWA AKILI ZENU ZIPO KAMA ZA HUYU MTOTO WA KAHABA BASI MNASIKITISHA.
Mi ni mbuzi afadhali maana we ni nguruwe jike mwenye Mimba ya goli moja watoto 20 na mumeo ni mbwa toka iringa alietoroka kisu Cha mhehe,Mbuzi nyingine ni hii hapa