Diazepam
JF-Expert Member
- Dec 3, 2020
- 1,263
- 3,523
Naelewa vizuri mkuu, unaupiga mwingi comment ni nyingi sana😀Kumbe unaelewa mkuu.....jf ya saiz ndo ilivyo...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naelewa vizuri mkuu, unaupiga mwingi comment ni nyingi sana😀Kumbe unaelewa mkuu.....jf ya saiz ndo ilivyo...
Huyo jamaa ni mnazi....Serious kabisa mtu anaanzisha uzi kama huu,nchi ina safari ndefu sana.
Acheni usimba na uyanga.
Hapo ushamtukana mama asiyenakosa kwanini usingemtukana hata matako yako duuMASHABIKI WA YANGA WOTE IKIWA AKILI ZENU ZIPO KAMA ZA HUYU MTOTO WA KAHABA BASI MNASIKITISHA.
Hajasema tusimpe makavu yake ila amesema tusiwaingize wazazi...Mkuu unapotenda kinyume na ustaarabu usitarajie mrejesho mwema.
Mwanzo mwisho,nmependa sana kiwango cha baka na mwamnyeto pia fundi kabisa job,kiwango bora sana kama siku zote,sijasahau ile pasi outer ya mzamiru kwenda kwa job na job akamwaga jalo safi kabisa kwa msuva.We umeona nini leo tupe uchambuzi wenye utondoti uliotukukaVp umecheki mpira??
Ile pasi aliyopiga mzamiru kwenda kwa Job,, unaizungumziaje? kiufupi, goli la Taifa limepitia kwemye miguuu mchanganyiko wa wachezaji (simba+yanga+msuva)Umesema ukweli mtoa Mada Mimi ni Yanga na kuna uzi nilisema beki za Yanga ndo zipangwe Taifa Stars sababu ukuta wao umeruhusu goli chache ligi kuu leo ukweli umedhihiri.
Pia nilisema Novatus asifanyiwe sub na imejibu pia!
Wachezaji wa Simba wanaofaa Taifa Stars ni Mzamiru na Kibu Denis tu maana timu ya Taifa wengine wote Huwa hawajitumi.
Kocha mpya mwarabu ameanza vizuri apewe muda hata five years Ili kina Sopu waje watuokoe maana Wana njaa ya kufunga!
Kiuchambuzi....Mwanzo mwisho,nmependa sana kiwango cha baka na mwamnyeto pia fundi kabisa job,kiwango bora sana kama siku zote,sijasahau ile pasi outer ya mzamiru kwenda kwa job na job akamwaga jalo safi kabisa kwa msuva.We umeona nini leo tupe uchambuzi wenye utondoti uliotukuka
Msuva ni Yanga damu!Ile pasi aliyopiga mzamiru kwenda kwa Job,, unaizungumziaje? kiufupi, goli la Taifa limepitia kwemye miguuu mchanganyiko wa wachezaji (simba+yanga+msuva)