Mto Kongo na Maajabu yake

Hebu nisaidieni swali hili jamani Congo DRC ni tofauti na Congo Brazzaville??? Na maraisi wao ni tofauti??

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio mkuu, ni nchi mbili tofauti na zina watawala tofauti, Congo ya kinshasa ni maarufu kidogo kuliko ile ya pili nadhani umaarufu wao unatokana ni vile unavyotaka, wengine lile vumbi la kusimamisha mambo yetu, waasi, muziki hahahaa sipo serious sana maana nipo Canada ile kitu imeruhusiwa huku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
,,,,CONGO INA NEEMA NYINGI SANA WANDUGU,,
AFRICA CJUI TUNAKWAMA WAPI,,,!!?

,,KAMA NI MAOMBI MBONA TUNAOMBA KILA CKU, MUNGU IBARIKI AFRICA MUNGU IBARIKI TANZANIA,,mwe wajameni,
 
Ni nchi mbili tofauti Lily Tony .
DRC hii ni Democratic republic of Congo, na Congo Brazzaville ni nchi Jirani ijulikanayo pia kama "Republic of Congo". Wakati DRC wametawaliwa na ubelgiji, Congo Brazzaville wametawakiwa na Ufaransa, ila zote mbili ni waathirika wa tawala za m dikteta, ingawa kiuchumi DRC ipo hoi zaidi.
BTW Lily Tony wewe ni classmate nunaye kufahamu right? Au ni coincidence ya majina!!
nilitaka kuuliza the same qn mkuu,asnt ,Naomba ukijibiwa unitag pls
 
Asante,kwa ufafanuzi na maelezo mazuri mkuu! Hahaha! sina uhakika kama ni mimi au majina yamefanana.Classmate wa shule/chuo gn boss?
 
Hata cha mkongo kinapatikana huko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…