Kasema ndio alikuwa mzungu wa kwanza hajasema kama alikuwa mtu wa kwanzaHapo No 6 ndio pekee nakataa mana huyo Mzungu alikuta watu hapo wakiishi ...Tofauti tu hawakuwa Wazungu
Ndio boss ni inchi tafautiHebu nisaidieni swali hili jamani Congo DRC ni tofauti na Congo Brazzaville??? Na maraisi wao ni tofauti??
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo No 6 ndio pekee nakataa mana huyo Mzungu alikuta watu hapo wakiishi ...Tofauti tu hawakuwa Wazungu
Naona umepigilia msumari wa mwisho BestmaleKasema ndio alikuwa mzungu wa kwanza hajasema kama alikuwa mtu wa kwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Unakadiriwa kuwa na visiwa vidogo vidogo zaida ya 4000 huku 50 kati ya hivyo vinakidiriwa kuwa na ukubwa zaidi ya miles 10 urefu
Hapana Mkuu, Kisiwa Cha Pemba ni kikubwa sana. Kisiwa cha pemba kina kilomita za Mraba 988 km².Kwahiyo kuna visiwa vinakaribia ukubwa wa kisiwa cha Pemba ?.
"maaabu" kweli hamna ila "maajabu" yapo mkuu tizama vizuriSijaona maaabu hapo
Huu mto ni mkubwa sana mkuu, na kwa sababu unapita katika nchi mbili DRC na Congo-Brazzaville basi unaweza pia ukautalii kwa kupitia nchi ya Congo-Brazzaville ambayo hali ya kisiasa ipo vizuri ukilinganisha na Democratic Republic of Congo.
Sawa mkuu, karibu tena.NMESOMA MARA KADHAA ... SIJAONA AJABU HATA MOJA.
Sawa mkuu, karibu tena.
Niyapate mara ngap?Nashukuru....ukipata maajabu yake leta JF tuyaone
Niyapate mara ngap?
1.denis sassou nguesso(congo brazaville)Ndio mkuu, ni nchi mbili tofauti na zina watawala tofauti, Congo ya kinshasa ni maarufu kidogo kuliko ile ya pili nadhani umaarufu wao unatokana ni vile unavyotaka, wengine lile vumbi la kusimamisha mambo yetu, waasi, muziki hahahaa sipo serious sana maana nipo Canada ile kitu imeruhusiwa huku
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio maajabu bali ni namba 4, 6, na 94,6 na 9 nayo maajabu?
Hapo No 6 ndio pekee nakataa mana huyo Mzungu alikuta watu hapo wakiishi ...Tofauti tu hawakuwa Wazungu
Kwa maana kiingereza shida mpaka kiswahili nacho No Kapuya, hao ndio waTz.Mtoa post kasema ni mzungu wa kwanza na sio binadamu wa kwanza kuuona huu MTO Congo
Nile ni urefu, ila kwa upana hauwez fikia mto kongoKama ni mto wa pili kwa kupeleka kiasi kikubwa cha maji baharini duniani na mto wa tisa kwa ukubwa duniani iweje Nile iwe kubwa kuliko mto Kongo, je huo ukubwa unatazamwa katika sura ya upana au pamoja na kina chake?