Mto Kongo na Maajabu yake

Mto Kongo na Maajabu yake

Daaah nashauku nikauone tatizo wahasi awata niacha salama

Sent using Jamii Forums mobile app
Huu mto ni mkubwa sana mkuu, na kwa sababu unapita katika nchi mbili DRC na Congo-Brazzaville basi unaweza pia ukautalii kwa kupitia nchi ya Congo-Brazzaville ambayo hali ya kisiasa ipo vizuri ukilinganisha na Democratic Republic of Congo.
 
Ndio mkuu, ni nchi mbili tofauti na zina watawala tofauti, Congo ya kinshasa ni maarufu kidogo kuliko ile ya pili nadhani umaarufu wao unatokana ni vile unavyotaka, wengine lile vumbi la kusimamisha mambo yetu, waasi, muziki hahahaa sipo serious sana maana nipo Canada ile kitu imeruhusiwa huku

Sent using Jamii Forums mobile app
1.denis sassou nguesso(congo brazaville)
2.tshisekedi(congo kinshasa)
 
Kama ni mto wa pili kwa kupeleka kiasi kikubwa cha maji baharini duniani na mto wa tisa kwa ukubwa duniani iweje Nile iwe kubwa kuliko mto Kongo, je huo ukubwa unatazamwa katika sura ya upana au pamoja na kina chake?
Nile ni urefu, ila kwa upana hauwez fikia mto kongo
 
Back
Top Bottom