Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani alikuambia maombi yana fanya kazi!?,,,,CONGO INA NEEMA NYINGI SANA WANDUGU,,
AFRICA CJUI TUNAKWAMA WAPI,,,!!?
,,KAMA NI MAOMBI MBONA TUNAOMBA KILA CKU, MUNGU IBARIKI AFRICA MUNGU IBARIKI TANZANIA,,mwe wajameni,
Angekuwa Mchina au Mhindi wa kwanza kutoka China au India kufika Mto Congo, na wangemkuta mwenyeji wao yuko hapo.
Ni kweli mkuu, imebarikiwa sana. Tatizo ni viongozi wetu wa Afrika wanajali matumbo yao kwanza.
Akili za viongozi wa Afrika zipo kwenye matumbo na hapo ndipo tunapokwama mkuu.,,,,CONGO INA NEEMA NYINGI SANA WANDUGU,,
AFRICA CJUI TUNAKWAMA WAPI,,,!!?
,,KAMA NI MAOMBI MBONA TUNAOMBA KILA CKU, MUNGU IBARIKI AFRICA MUNGU IBARIKI TANZANIA,,mwe wajameni,
Upo sahihi kabisa mkuu.Mto una matumizi mengine mengi tu zaidi ya usafiri,mfano umwagiliaji,uvuvi,ufuaji wa umeme nk...
Ndio tatizo la mito ya Africa wezetu mito yao wanaifuraiya Sana maana inapitisha mizigo kama bahari ukiona mito ya china inavyo fanya usafirishaji yakwetu utaiona haina maana!!The mighty Congo,unafurika kiasi kwamba huwezi tumia kwa vyombo vya usafiri.View attachment 1016011
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante sana mkuu. Nilikuwa namaanisha urefu, Nile ni wakwanza na Kongo ni wapili. Lakini kwa upana Kongo ni wakwanza na Nile ni wapili mkuu.Kama ni mto wa pili kwa kupeleka kiasi kikubwa cha maji baharini duniani na mto wa tisa kwa ukubwa duniani iweje Nile iwe kubwa kuliko mto Kongo, je huo ukubwa unatazamwa katika sura ya upana au pamoja na kina chake?
Ahsante kwa elimu nzuri.Ni nchi mbili tofauti Lily Tony .
DRC hii ni Democratic republic of Congo, na Congo Brazzaville ni nchi Jirani ijulikanayo pia kama "Republic of Congo". Wakati DRC wametawaliwa na ubelgiji, Congo Brazzaville wametawakiwa na Ufaransa, ila zote mbili ni waathirika wa tawala za m dikteta, ingawa kiuchumi DRC ipo hoi zaidi.
BTW Lily Tony wewe ni classmate nunaye kufahamu right? Au ni coincidence ya majina!!
Ni kweli kabisa mkuu.Tumebarikiwa lakini hatujui kuvitumia.
Hakika mkuu.Afrika tumebalikiwa
Hizo ni inchi mbiliHebu nisaidieni swali hili jamani Congo DRC ni tofauti na Congo Brazzaville??? Na maraisi wao ni tofauti??
Sent using Jamii Forums mobile app
Congo brazzaville - Raisi Denis Sosu Nguessonilitaka kuuliza the same qn mkuu,asnt ,Naomba ukijibiwa unitag pls
ADUI mkubwa wa Afrika ni sisi Wafrika mkuu. Mabeberu huwa wanatafuta Vibaraka na kupenyeza rupia. Wabeligiji na Wafaransa wamechangia kwa kiasi kikubwa sana kuivuriga Congo. Achilia mbali Wizi mkubwa wa kutisha walioufanya huko.,,,,CONGO INA NEEMA NYINGI SANA WANDUGU,,
AFRICA CJUI TUNAKWAMA WAPI,,,!!?
,,KAMA NI MAOMBI MBONA TUNAOMBA KILA CKU, MUNGU IBARIKI AFRICA MUNGU IBARIKI TANZANIA,,mwe wajameni,