Mto wenye mamba ndio hupatikana samaki wengi

Mto wenye mamba ndio hupatikana samaki wengi

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Serikali ya kiongozi mkali, mkorofi, anaewatisha kwanza mumuogope. Anaependa watu wasikooe Wala kumuuliza swali Ina walakini. Hata akikwapua mabilioni mtalazimika kumpigia makofi..anaweza akaenda benki na begi na akamuamuru meneja jaza Hela humu !! Na meneja akazishindilia kabisa.

Serikali corrupt ni mali ya mtu bali Serikali ya watu huwasikiliza watu. Uongozi bora sio uchumi wala miundombinu ni kuwasikiliza watu. Mto wenye mamba hauwazuii wavuvi kupata kitoweo bali huwaongezea ujasiri wa kuchota samaki wengi zaidi
 
China kunyongwa au kupigwa risasi,ni jambo la kawaida kwa wala rushwa na wabadhilifu wa mali za umma,huku kwetu eti huyu anakwambia 'mkaliangalie na hilo',wewe unaona wapi ambako watu watakua majasiri kutafuna pesa za umma?
'Najua kua mnakula,ila kuleni msivimbiwe':unapenda kauli kama hizo the fauti na anayesema 'mkizila hizo hela mtazitolea popote' sindiyo mleta mada?
 
China kunyongwa au kupigwa risasi,ni jambo la kawaida kwa wala rushwa na wabadhilifu wa mali za umma,huku kwetu eti huyu anakwambia 'mkaliangalie na hilo',wewe unaona wapi ambako watu watakua majasiri kutafuna pesa za umma?
'Najua kua mnakula,ila kuleni msivimbiwe':unapenda kauli kama hizo the fauti na anayesema 'mkizila hizo hela mtazitolea popote' sindiyo mleta mada?
Tanzania tuna safari ndefu sana wale wachina wanaojenga mwendo kasi wanalalamika vijana wale vibarua wanaiba material mpaka mchina anashangaa yaani badala ya watanzania kulinda mali yao wao wanaiba na mchina ndo analinda kwa kuwafukuza watanzania wasiibe ni vituko kusema ukweli kwenye nchi hii vinaendelea.
 
Back
Top Bottom