Mtoni kwa Kindande- Singapore ndogo

Mtoni kwa Kindande- Singapore ndogo

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
Mtoni kwa Kindande, Kuanzia majengo, barabara, Usalama, wakazi na biashara zinaakisi Singapore
 

Attachments

  • images (14).jpeg
    images (14).jpeg
    44.2 KB · Views: 20
wale wa mbagala tunaanza kujitetea na mbagala yetu

kumbe ishaanza kuwa kama singapore bana
😂😂😂😂
 
Ukitoa dubai miji ya kiarabu imekaa kienyeji sana pmj na kutumika gharama kubwa kuitengeneza

Ila ukienda kwa mabwenyenye kuna teste fulani kila nyumba inapendeza si vijijini si mjini
 
Mtoni kwa Kindande, Kuanzia majengo, barabara, Usalama, wakazi na biashara zinaakisi Singapore
Wewe unaijua Singapore wacha ujinga huo ww umefika singapore kuna sehemu inaitwa Santosa umefika kama hujafika wacha ujinga wako.
 
Ukitoa dubai miji ya kiarabu imekaa kienyeji sana pmj na kutumika gharama kubwa kuitengeneza

Ila ukienda kwa mabwenyenye kuna teste fulani kila nyumba inapendeza si vijijini si mjini
We jamaa nakuzoom tu unaijua Qatar? Walikufanya nn mbona una chuki nao na wwe hata maendeleo huna maskini ya mungu.

Picha ni Singapore hapo chini
 

Attachments

  • 1662705774440.jpg
    1662705774440.jpg
    130.8 KB · Views: 15
Nachopendea mtoni na TmK huwezi kuta masela wanavuliwa ubingwa Kama kule arusha
 
Ukitoa dubai miji ya kiarabu imekaa kienyeji sana pmj na kutumika gharama kubwa kuitengeneza

Ila ukienda kwa mabwenyenye kuna teste fulani kila nyumba inapendeza si vijijini si mjini
Sungura alipozikosa zabibu alisema 'sizitaki mbichi hizi'
 
Back
Top Bottom