Mtoto abakwa hadi kufa Mbagala, Mwili watupwa kwenye pagala

Heparin

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2021
Posts
242
Reaction score
1,141
Duuu binadamu ni mnyama hatari sana
 
Kwa namna walivyo wataanza kuhangaka na mwenye pagala kwanini hajahamia
 
P*rn*graphy zina madhara hayo ya kupoteza "A Moral Compass of life" of someone
Yes including walking p*rn*graphy Wanaovaa nusu uchi visketi fupi na za kubana na vikaptura/suruali ndiyo mojawapo ya madhara haya, wenye uchu na hela ndefu za kununua ngono hawana wanaenda kubaka watoto. Mavazi ya kikahaba na ukahaba vidhibitiwe kupunguza ukatili kwa watoto. Sheria kali zinawekwa lakini matukio yanazidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…