Duuu binadamu ni mnyama hatari sanaMwili wa mtoto anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka mitano umekutwa umetupwa kwenye pagala lililo Mbagala Kichemchem, Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa watu walioushuhudia mwili huo kwenye pagala hilo, mwili huo una viashiria vya mtoto huyo kubakwa kisha mwili huo kutelekezwa kwenye pagala hilo.
Chanzo: Azam TV
Kwa namna walivyo wataanza kuhangaka na mwenye pagala kwanini hajahamiaMwili wa mtoto anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka mitano umekutwa umetupwa kwenye pagala lililo Mbagala Kichemchem, Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa watu walioushuhudia mwili huo kwenye pagala hilo, mwili huo una viashiria vya mtoto huyo kubakwa kisha mwili huo kutelekezwa kwenye pagala hilo.
Chanzo: Azam TV
Mbona sisi wengine madomo zege hatubaki watoto tunaenda buguruni kujimwamposaKitoto cha umri huo mtu ana pata raha gani kufanya ivyo .au ndo udomo zege
Kwa nnmbagala temeke tandika sio sehemu za kuishi binadamu
Kwahio sisi tunaoishi huku ni wanyama?!mbagala temeke tandika sio sehemu za kuishi binadamu
Hawa roho zao kama wale wanaoua aj kukata viungo wenye ulemavu wa ngozi. Kote huko wanahusika ni WAGANGA WA KIENYEJIHao watu wanaowabaka watoto hivi wanakuwaga hawana watoto?
Yes including walking p*rn*graphy Wanaovaa nusu uchi visketi fupi na za kubana na vikaptura/suruali ndiyo mojawapo ya madhara haya, wenye uchu na hela ndefu za kununua ngono hawana wanaenda kubaka watoto. Mavazi ya kikahaba na ukahaba vidhibitiwe kupunguza ukatili kwa watoto. Sheria kali zinawekwa lakini matukio yanazidi.P*rn*graphy zina madhara hayo ya kupoteza "A Moral Compass of life" of someone