Mtoto abakwa hadi kufa Mbagala, Mwili watupwa kwenye pagala

Mtoto abakwa hadi kufa Mbagala, Mwili watupwa kwenye pagala

Katoto ka darasa la 4 🥺🥺, sasa mtu unapata starehe gani, haya ni matatizo sijui ya akili, kutizama x ama ushirikina.
X haziusiani na hiyo kitu, hili swala liangaliwe kwa mtazamo mwingine kabisa. mkoani Mwanza mauaji yalikuwa yamezidi, lakini baada ya Kamanda wa Polisi mkoa huo kufanya msako wa waganga wa jadi na kufanikiwa kuwakamata wengi atleast mauaji yamepungua.
 
Hilii nalo litapitaaa
FB_IMG_1723578121264.jpg
 
RIP,
ILA 5 YEARS, si mtoto anayehutaji uangalizi mkubwa sana kutoka kwa wazazi, Watanzania wengi mnafeli hapa. 5 years si ya school bus tu, si ya kumtuma mtoto aende shule mwwenyewe wala gengeni,.
Failure ya kwanza ni ya wazazi, kuishi kwa mazoea. Hatupo kwenye nchi yenye security kiasi hicho.
Hii mmm au boni yai wakiona watasema mama samiah, mbwa wale.
 
Mwili wa mtoto anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka mitano umekutwa umetupwa kwenye pagala lililo Mbagala Kichemchem, Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa watu walioushuhudia mwili huo kwenye pagala hilo, mwili huo una viashiria vya mtoto huyo kubakwa kisha mwili huo kutelekezwa kwenye pagala hilo.

Soma Pia: Mbeya: Mtoto wa darasa la nne shule ya msingi Mkapa alawitiwa na mwenzie wa darasa la saba

Chanzo: Azam TV
Uchaguzi huu Ccm watatumaliza
 
Back
Top Bottom