Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ishu kama hii ya Kikatili usiandike kama una njaa. Shame on You😠Wanaume mmefikia huko?
Adui wa binadamu ni Binadam hata huyo Mbwa mzee hawezi kumuingilia mbwa mtotoHuo ndiyo ubinaadam sasa, wanyama huwa hawana mambo ya kishenzi kama hayo
Hawa wabakaji kama ikithibitishwa na Mahakama wawe wanakatwa Dushe,hii huenda ikapunguza haya matukio,au wawe wanahukumiwa kunyongwa tu coz hawafai kuishi kwenye jamii ya watu waliostaarabika.Kinachotisha ni kwamba, ukifikiria tunawezaje kuzuia haya matukio unakosa majibu.
Kwa kitendo hicho cha kikatili,hata hao wanyama wana nafuu.Inasikitisha sana sana, watu wamekuwa wanyama.
X haziusiani na hiyo kitu, hili swala liangaliwe kwa mtazamo mwingine kabisa. mkoani Mwanza mauaji yalikuwa yamezidi, lakini baada ya Kamanda wa Polisi mkoa huo kufanya msako wa waganga wa jadi na kufanikiwa kuwakamata wengi atleast mauaji yamepungua.Katoto ka darasa la 4 🥺🥺, sasa mtu unapata starehe gani, haya ni matatizo sijui ya akili, kutizama x ama ushirikina.
Hili nalo ni tatizo kubwa,kesi itajadiliwa kwenye vyombo vya habari kisha inakuja kupotea tu,wala watu hawajui iliishaje!Hilii nalo litapitaaaView attachment 3069860
Watu wanatafuta utajiri wa kila njiaKitoto cha umri huo mtu ana pata raha gani kufanya ivyo .au ndo udomo zege
Uchaguzi huu Ccm watatumalizaMwili wa mtoto anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka mitano umekutwa umetupwa kwenye pagala lililo Mbagala Kichemchem, Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa watu walioushuhudia mwili huo kwenye pagala hilo, mwili huo una viashiria vya mtoto huyo kubakwa kisha mwili huo kutelekezwa kwenye pagala hilo.
Soma Pia: Mbeya: Mtoto wa darasa la nne shule ya msingi Mkapa alawitiwa na mwenzie wa darasa la saba
Chanzo: Azam TV
Masharti ayo mkuu ya mgangaHao watu wanaowabaka watoto hivi wanakuwaga hawana watoto?