Sio udomo zege, nahisi kuna kitu nyuma ya pazia. Hivi kuna malaya hadi wa buku 2 then bado mtu abake kitoto kidogo kabisa!Kitoto cha umri huo mtu ana pata raha gani kufanya ivyo .au ndo udomo zege
Hakuna nchi duniani ina well developed pornography industry kama USA 🇺🇸 mbona hizi kesi hakuna? Mi nadhani ni USHIRIKINA na si kingineP*rn*graphy zina madhara hayo ya kupoteza "A Moral Compass of life" of someone
Kalaga Baho Nongwa😂Mbona sisi wengine madomo zege hatubaki watoto tunaenda buguruni kujimwamposa
Maleziii maleziii maleziiiMwili wa mtoto anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka mitano umekutwa umetupwa kwenye pagala lililo Mbagala Kichemchem, Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa watu walioushuhudia mwili huo kwenye pagala hilo, mwili huo una viashiria vya mtoto huyo kubakwa kisha mwili huo kutelekezwa kwenye pagala hilo.
Soma Pia: Mbeya: Mtoto wa darasa la nne shule ya msingi Mkapa alawitiwa na mwenzie wa darasa la saba
Chanzo: Azam TV
Hii sio sawa na sio kweli, usikute hao wanaishi Masaki, Oysterbay na kwingineko unaowaona wewe ndio binadamu pengine ndio wamefanya unyama huo.mbagala temeke tandika sio sehemu za kuishi binadamu
SemaK
Kalaga Baho Nongwa😂
Usituweke wote humo Sisi wengine hatupo kwenye kundi hilo la wakabaji mijusiWanaume mmefikia huko?
Huo ndiyo ubinaadam sasa, wanyama huwa hawana mambo ya kishenzi kama hayoDuuu binadamu ni mnyama hatari sana