DOKEZO Mtoto adaiwa kulawitiwa na Mwalimu na kupewa biskuti na soda. Familia yaomba msaada

DOKEZO Mtoto adaiwa kulawitiwa na Mwalimu na kupewa biskuti na soda. Familia yaomba msaada

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kama tunaowapa dhamana ya kutulelea na kutukuzia watoto wetu Kitaaluma wanafanya hayo basi tuna hali mbaya Kwa kweli kama Taifa

Halafu huyo Mwalimu ameshindwa kabisa kuwatongoza hata Walimu wenzake wakike hapo shuleni hadi kufanya huo ufedhuli?
 
Mhe. Waziri wetu mpendwa, mama yetu na dada yetu.
Njoo huku utusaidie Dkt. Gwajima D

Poleni sana ndugu zetu, tuna imani waziri wetu mpendwa akipata taarifa hii atalishughulikia swala hili kwa haraka iwezekanavyo. Kikubwa akihitaji ushirikiano muumpe ili ajue aanzie na afikie wapi.

Mtafute waziri DKT Dorothy Gwajima sasa hivi kupitia namba hizi [emoji117] 0765345777
Tayari nimewasiliana na Bibi wa mtoto, taarifa nimefikisha mahala stahiki kwa waziri mwenzangu wa mambo ya ndani Ili aanzie pale hatua zilipoishia.

Ahsanteni sana jamii kwa kuendelea kuibua matukio yenye changamoto, kikubwa tuimarishe ulinzi wa watoto kwa kuwa karibu nao kwa elimisha kuhusu ubaya wa Dunia na tahadhari, kuwahoji habari za walikotoka na kuwakagua hawa wadogo.

Tuendelee kushirikiana [emoji1666][emoji120]
 
Tayari nimewasiliana na Bibi wa mtoto, taarifa nimefikisha mahala stahiki kwa waziri mwenzangu wa mambo ya ndani Ili aanzie pale hatua zilipoishia.

Ahsanteni sana jamii kwa kuendelea kuibua matukio yenye changamoto, kikubwa tuimarishe ulinzi wa watoto kwa kuwa karibu nao kwa elimisha kuhusu ubaya wa Dunia na tahadhari, kuwahoji habari za walikotoka na kuwakagua hawa wadogo.

Tuendelee kushirikiana [emoji1666][emoji120]

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Kuna jambo nitakuandikia ktk page ya wizara yako, siku nikitulia, au nitakutumia text kwa no ako.
 
Tayari nimewasiliana na Bibi wa mtoto, taarifa nimefikisha mahala stahiki kwa waziri mwenzangu wa mambo ya ndani Ili aanzie pale hatua zilipoishia.

Ahsanteni sana jamii kwa kuendelea kuibua matukio yenye changamoto, kikubwa tuimarishe ulinzi wa watoto kwa kuwa karibu nao kwa elimisha kuhusu ubaya wa Dunia na tahadhari, kuwahoji habari za walikotoka na kuwakagua hawa wadogo.

Tuendelee kushirikiana [emoji1666][emoji120]

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Nna swali
Uko tayari?
Ikitokea huyu tulienae akatangulia kama yule 2025 utachukua fomu ya kugombea
 
Sasa kufirimba kitoto seriously? Kufirimba Mwanamke tu naona kinyaa leo mtu ana firimba kitoto
 
sema wote tumegeuka ma hakimu na kumuhukumu mwalimu bila hata kuona ina faa uchunguzi ufanyike na muhusika apatikane na afahamike

unaweza kuta muhusika yuko kwenye familia ila mwalimu imma ana angushiwa jumba bovu
 
Hili jambo lichunguzwe na haki itendeke pasipo kumuonea au kumpendelea mtu, ila nitoe mtazamo wangu kulingana hili suala lililojitokeza hapa.

Nahitaji kujua mwalimu Imma ana umri gani? Muonekano wake ukoje? Haiingiii akilini eti mtoto wa miaka 6 awe analawitiwa mara kwa mara, kisa anapewa biskuti na soda, afu dalili za kuonesha kaharibiwa kwa tupu ya nyuma ni kujinyea hovyo, ndipo wazazi kustukaa.

Hivi ulawiti ni rahisi kiasi hicho? Huyo mtoto km kweli alikua anaingiliwa hata angeweza kutembea? Huko nyuma kusingekua kunatoa damu? Huyo mwalimu hata angekua na kibamia, plus kutumia kilainishi tena hata iwe Durex huyo mtoto angepata madhara ya kuonekana wazi wazi,

Mtoto wa miaka 6 anaweza kuhimili mikiki ya mtu mzima ktk sex? Tena kupitia tupu ya nyuma?

Hapa kuna jambo, na wala haina kuficha, siku hizi kuna mtindo wa walimu wa kuzushiwa case za ubakaji, ulawiti na mimba kwa wanafunzi.

Hili jambo lichunguzwe kwa weledi ili kubaini na kupata ukweli halisi, na sio kutaka kuumiza na kuua future ya mtu kwa maslahi ya mtu au watu fulaniii.
Neno pia
 
Back
Top Bottom