Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tayari nimewasiliana na Bibi wa mtoto, taarifa nimefikisha mahala stahiki kwa waziri mwenzangu wa mambo ya ndani Ili aanzie pale hatua zilipoishia.Mhe. Waziri wetu mpendwa, mama yetu na dada yetu.
Njoo huku utusaidie Dkt. Gwajima D
Poleni sana ndugu zetu, tuna imani waziri wetu mpendwa akipata taarifa hii atalishughulikia swala hili kwa haraka iwezekanavyo. Kikubwa akihitaji ushirikiano muumpe ili ajue aanzie na afikie wapi.
Mtafute waziri DKT Dorothy Gwajima sasa hivi kupitia namba hizi [emoji117] 0765345777
Shukrani, nimeona na hatua za ufuatiliaji tayari zimeanza kupitia wizara ya mambo ya ndaniMleta mada tafadhali mtumie SMS waziri DKT Dorothy Gwajima kupitia namba hizi [emoji117] 0765345777
Kwa maisha ya Sasa, Kauli yako hii ndo inatakiwa kutumika.. 💪💪Kuna situation ni ngumu sana ukiwa kama mzazi.
Sometimes bora uweke dini pembeni kwanza ufanye jambo.
i understand you brotherKuna situation ni ngumu sana ukiwa kama mzazi.
Sometimes bora uweke dini pembeni kwanza ufanye jambo.
Kuna jambo nitakuandikia ktk page ya wizara yako, siku nikitulia, au nitakutumia text kwa no ako.Tayari nimewasiliana na Bibi wa mtoto, taarifa nimefikisha mahala stahiki kwa waziri mwenzangu wa mambo ya ndani Ili aanzie pale hatua zilipoishia.
Ahsanteni sana jamii kwa kuendelea kuibua matukio yenye changamoto, kikubwa tuimarishe ulinzi wa watoto kwa kuwa karibu nao kwa elimisha kuhusu ubaya wa Dunia na tahadhari, kuwahoji habari za walikotoka na kuwakagua hawa wadogo.
Tuendelee kushirikiana [emoji1666][emoji120]
Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Nna swaliTayari nimewasiliana na Bibi wa mtoto, taarifa nimefikisha mahala stahiki kwa waziri mwenzangu wa mambo ya ndani Ili aanzie pale hatua zilipoishia.
Ahsanteni sana jamii kwa kuendelea kuibua matukio yenye changamoto, kikubwa tuimarishe ulinzi wa watoto kwa kuwa karibu nao kwa elimisha kuhusu ubaya wa Dunia na tahadhari, kuwahoji habari za walikotoka na kuwakagua hawa wadogo.
Tuendelee kushirikiana [emoji1666][emoji120]
Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
"pedophilic" ni "mtu mwenye tamaa ya kingono kwa watoto wadogo."pedophilic wamejaa mtaani tuwe makini
kama una swali ulizaNna swali
Uko tayari?
Neno piaHili jambo lichunguzwe na haki itendeke pasipo kumuonea au kumpendelea mtu, ila nitoe mtazamo wangu kulingana hili suala lililojitokeza hapa.
Nahitaji kujua mwalimu Imma ana umri gani? Muonekano wake ukoje? Haiingiii akilini eti mtoto wa miaka 6 awe analawitiwa mara kwa mara, kisa anapewa biskuti na soda, afu dalili za kuonesha kaharibiwa kwa tupu ya nyuma ni kujinyea hovyo, ndipo wazazi kustukaa.
Hivi ulawiti ni rahisi kiasi hicho? Huyo mtoto km kweli alikua anaingiliwa hata angeweza kutembea? Huko nyuma kusingekua kunatoa damu? Huyo mwalimu hata angekua na kibamia, plus kutumia kilainishi tena hata iwe Durex huyo mtoto angepata madhara ya kuonekana wazi wazi,
Mtoto wa miaka 6 anaweza kuhimili mikiki ya mtu mzima ktk sex? Tena kupitia tupu ya nyuma?
Hapa kuna jambo, na wala haina kuficha, siku hizi kuna mtindo wa walimu wa kuzushiwa case za ubakaji, ulawiti na mimba kwa wanafunzi.
Hili jambo lichunguzwe kwa weledi ili kubaini na kupata ukweli halisi, na sio kutaka kuumiza na kuua future ya mtu kwa maslahi ya mtu au watu fulaniii.
Tena wa shule ya Mount Moriah iliyoko Kibanda Cha mkaa Mbezi mwisho Dar es Salaam.Mwalimu tena...