Kirchhoff
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,735
- 8,541
Mwambie Kwa Uwazi Kuwa Unakumbuka Mabaya aliyokuwa anakufanyia. Akijuta na akiomba Msamaha Msamehe.Wakati nina miaka kati ya 5 hadi 8 nilikuwa nalala na anko devi. Huyu jamaa alikuwa ameshafikisha kayi ya 17 au 19 to 20s. Sina kumbukumbubalikuwa akitumia lugha ipi kuniambia. Ninachokumbuka ji mb....o ya anko ilikuwa nikiishika ni kubwa hiyo kumbukumbu pekee. Kilichoniponesha ni jamaa alikuwa nahofu hajawahi ipenyeza kwenye kinyeo aliishia kuninajisi na shawaha.
Muda huu nawaza nimsamehe au nimfanyie tukio baya
Lakini baada ya hapo Chukua TAHADHARI kwani atahisi unamuwinda. Hivyo kumbuka Mwinda Huwindwa.
Option 2 unaweza kujieleza kwa Mamlaka Kesi Ikatajwa kama wale wanaojitokeza Sasa kuwashitaki kina Pdidy Ili Haki Itendeke.