DOKEZO Mtoto adaiwa kulawitiwa na Mwalimu na kupewa biskuti na soda. Familia yaomba msaada

DOKEZO Mtoto adaiwa kulawitiwa na Mwalimu na kupewa biskuti na soda. Familia yaomba msaada

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Wakati nina miaka kati ya 5 hadi 8 nilikuwa nalala na anko devi. Huyu jamaa alikuwa ameshafikisha kayi ya 17 au 19 to 20s. Sina kumbukumbubalikuwa akitumia lugha ipi kuniambia. Ninachokumbuka ji mb....o ya anko ilikuwa nikiishika ni kubwa hiyo kumbukumbu pekee. Kilichoniponesha ni jamaa alikuwa nahofu hajawahi ipenyeza kwenye kinyeo aliishia kuninajisi na shawaha.

Muda huu nawaza nimsamehe au nimfanyie tukio baya
Mwambie Kwa Uwazi Kuwa Unakumbuka Mabaya aliyokuwa anakufanyia. Akijuta na akiomba Msamaha Msamehe.

Lakini baada ya hapo Chukua TAHADHARI kwani atahisi unamuwinda. Hivyo kumbuka Mwinda Huwindwa.

Option 2 unaweza kujieleza kwa Mamlaka Kesi Ikatajwa kama wale wanaojitokeza Sasa kuwashitaki kina Pdidy Ili Haki Itendeke.
 
Mwambie Kwa Uwazi Kuwa Unakumbuka Mabaya aliyokuwa anakufanyia. Akijuta na akiomba Msamaha Msamehe.

Lakini baada ya hapo Chukua TAHADHARI kwani atahisi unamuwinda. Hivyo kumbuka Mwinda Huwindwa.

Option 2 unaweza kujieleza kwa Mamlaka Kesi Ikatajwa kama wale wanaojitokeza Sasa kuwashitaki kina Pdidy Ili Haki Itendeke.
Jinai haifi kumbukeni hilo!!
 
sema wote tumegeuka ma hakimu na kumuhukumu mwalimu bila hata kuona ina faa uchunguzi ufanyike na muhusika apatikane na afahamike

unaweza kuta muhusika yuko kwenye familia ila mwalimu imma ana angushiwa jumba bovu
Hakika kabisaa,
 
Familia yaomba Serikali kuwasaidia kupata haki ya mtoto wao ambae wanadai amelawitiwa shuleni. Wazazi wadai Serikali ya Mtaa na kituo cha polisi hakiwapi ushirikiano.

Wakifafanua sakata hilo Wazazi wanadai kuwa walipata mashaka baada ya kuona mtoto wao wa miaka 6 anajinyea mara kwa mara na baadaye mwendo wa mtoto huyo ubadilika.

Aidha, wanasema walipomhoji mtoto huyo alidokeza kuwa Mwalimu Imma anampaga soda na Biskuti lakini mtoto hakuweza kueleza vitendo vya mwalimu huyo.

Baada ya kwenda Polisi na Hospitali alipopimwa ilibainika mtoto huyo ameharibiwa sehemu yake ya haja kubwa.

Wazazi wanaomba mamlaka husika kutoa msaada ili kupata haki kwa mtoto wao.

Ualimu ni kazi ya laana kilasiku nawambia, ni kazi ambayo ukiingia na akili zako timamu utatoka ukiwa kichaa, haina tofauti na ile kazi ya boda boda .na yenyewe ni mkondo huo huo na kazi ya uaskari .lazima uwe na tu element twa ukichaa ndo utwwza kuafnya kazi hizi
 
Kweli kabisa haya mambo yapo na nilishashuhudia mtu kasingiziwa kesi makusudi hadi leo jamaa hakai karibu na watoto ameshaathirika kisaikolojia kabisa..
Nimesha shuhudia case km 2, na nilijitoa ktk kuhakiki kile kilichojitokeza, kumbe ni uongo na kutaka kuumizana na kuua future ya mtu, km kisasi kwa jambo fulani.

Lazima ukweli tuuseme.
 
Hili jambo lichunguzwe na haki itendeke pasipo kumuonea au kumpendelea mtu, ila nitoe mtazamo wangu kulingana hili suala lililojitokeza hapa.

Nahitaji kujua mwalimu Imma ana umri gani? Muonekano wake ukoje? Haiingiii akilini eti mtoto wa miaka 6 awe analawitiwa mara kwa mara, kisa anapewa biskuti na soda, afu dalili za kuonesha kaharibiwa kwa tupu ya nyuma ni kujinyea hovyo, ndipo wazazi kustukaa.

Hivi ulawiti ni rahisi kiasi hicho? Huyo mtoto km kweli alikua anaingiliwa hata angeweza kutembea? Huko nyuma kusingekua kunatoa damu? Huyo mwalimu hata angekua na kibamia, plus kutumia kilainishi tena hata iwe Durex huyo mtoto angepata madhara ya kuonekana wazi wazi,

Mtoto wa miaka 6 anaweza kuhimili mikiki ya mtu mzima ktk sex? Tena kupitia tupu ya nyuma?

Hapa kuna jambo, na wala haina kuficha, siku hizi kuna mtindo wa walimu wa kuzushiwa case za ubakaji, ulawiti na mimba kwa wanafunzi.

Hili jambo lichunguzwe kwa weledi ili kubaini na kupata ukweli halisi, na sio kutaka kuumiza na kuua future ya mtu kwa maslahi ya mtu au watu fulaniii.
Ofcoz kama unataka kumjua mwl iemma nenda insta search for "emma de boy "
Utamuona na watz wameshajaa huko wanamshushiia matusi
 
Familia yaomba Serikali kuwasaidia kupata haki ya mtoto wao ambae wanadai amelawitiwa shuleni. Wazazi wadai Serikali ya Mtaa na kituo cha polisi hakiwapi ushirikiano.

Wakifafanua sakata hilo Wazazi wanadai kuwa walipata mashaka baada ya kuona mtoto wao wa miaka 6 anajinyea mara kwa mara na baadaye mwendo wa mtoto huyo ubadilika.

Aidha, wanasema walipomhoji mtoto huyo alidokeza kuwa Mwalimu Imma anampaga soda na Biskuti lakini mtoto hakuweza kueleza vitendo vya mwalimu huyo.

Baada ya kwenda Polisi na Hospitali alipopimwa ilibainika mtoto huyo ameharibiwa sehemu yake ya haja kubwa.

Wazazi wanaomba mamlaka husika kutoa msaada ili kupata haki kwa mtoto wao.

Roho inaniuma sana...mungu atusaidie kuirudisha hata ile dunia na ulimwengu wa mwanzo..
 
Back
Top Bottom