Mtoto akiri Mahakamani kubakwa na baba yake ambaye ni Mchungaji wa Kanisa

Waadventista Wasabato mnachafuliwa huku njooni majibu tuhuma! Inakuwaje mnawapa uchungaji watu ambao hawajabatizwa?
 
Mchungaji huyo alikuwa ni muumini wa Dini ya Kiislam, alibadili dini na kuanza kuhamia katika Ukristo lakini hakubadili dini.
Alibadili DINI lakini hakubadili DINI
Ndio umeandika nini boss?
 
Hawa wabakaji na watu wanaokula mashoga dawa yao ni kifo ,mahakaman huko wanafanya nini kazi kula ugali na maharage ya bure.
 
Siyo muumini wa Kanisa la Sabato alikuwa mchungaji wa Kanisa la kilokole acha chuki
 
WACHUNGAJI OENI JAMANI.
Mtataguna kondoo mpk mtamaliza kabla mwenye kondoo hajarudi.
Kudadeki.

Au km vipi wale wote wenye imani za kukatazwa kuoa wakatwe MAKENDE jumla. Au watamaliza watoto hawa viumbe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…