Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Mtoto huyo aligunduliwa na wasamaria wema waliokuwa wakipita katika mashamba hayo.
Akizungumza na Mwananchi leo Jumapili Jnuari 19, 2025, baba mzazi wa mtoto huyo, Nasib Ndihagule amesema Shamimu alipatikana akiwa hana nguo, hali inayozua maswali kuhusu nani alimvua nguo hizo na kwa sababu gani.
Kwa upande wake, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Alex Mkama amesema kupitia taarifa rasmi kuwa mtoto huyo alitelekezwa na watu wasiojulikana katika mashamba ya miwa kwenye kitongoji cha Mhovu yaliyopo Kijiji cha Kisanga.