bush crazy
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 767
- 1,083
Wajuzi wa mambo njooni hapa! mtueleze ukweli wa mambo, maana juzi kati nilikuwa na game na ka she fulani hapa mtaani kwetu kumbe yule she alikuwa hajamaliza period yake vizuri na hakuniambia, sasa nilicheza bila viatu ile game kuja kushituka wakati na shangilia ushidi wa 1-0 dk ya tisini nikaona damu wacha wee akil imeyumbaa!