Mtoto ananyonya sana usiku silali

Mtoto ananyonya sana usiku silali

Miss Natafuta

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2015
Posts
27,031
Reaction score
49,928
Mwanangu ana miezi 11 sasa alhamdulilah! Anakula vizuri .tu chakula cha usiku anakula around SAA 12 hadi saa moja jioni.Na Mimi nakuwa nimerudi toka mihangaikoni.
Ila shida ni kwamba ananyonya usiku kucha hata Mara kumi nashindwa kulala vizuri.
Naombeni ushauri wakuu.
 
Samahani mpwa.....mtoto anakuwaje kero kwenye kunyonya wakati ni haki yake...au anaiba mpaka muda wa shughuli za ujenzi wa taifa la baadae!!!?
 
Ila kweli hakuna mkate mgumu mbele ya chai. We miss si ndo kila kukicha unatuona wanaume watu sio. Wamekubebesha mimba kabisa hahahaha.....wanawake huwa wanapotoshana sana kuhusu wanaume hahha
 
Ila kweli hakuna mkate mgumu mbele ya chai. We miss si ndo kila kukicha unatuona wanaume watu sio. Wamekubebesha mimba kabisa hahahaha.....wanawake huwa wanapotoshana sana kuhusu wanaume hahha
 
Mwanangu ana miezi 11 sasa alhamdulilah! Anakula vizuri .tu chakula cha usiku anakula around SAA 12 hadi saa moja jioni.Na Mimi nakuwa nimerudi toka mihangaikoni.
Ila shida ni kwamba ananyonya usiku kucha hata Mara kumi nashindwa kulala vizuri.
Naombeni ushauri wakuu.
Sasa si atakuwa ana mmalizia baba yake? Aisee, fanya mpango alale mbali na wewe
 
Watoto wote wananyonya lakini wakiume nimewapa kombe. Wananyonya haijalishi wamekula chakula kingine au la! Zoezi la kunyonya hawalichanganyi na kitu chochote, linajitegemea.

Vumilia tu rafiki
 
Mwanangu ana miezi 11 sasa alhamdulilah! Anakula vizuri .tu chakula cha usiku anakula around SAA 12 hadi saa moja jioni.Na Mimi nakuwa nimerudi toka mihangaikoni.
Ila shida ni kwamba ananyonya usiku kucha hata Mara kumi nashindwa kulala vizuri.
Naombeni ushauri wakuu.
Kumbe una kichanga siku hizi, hongera
 
Back
Top Bottom