Mtoto ananyonya sana usiku silali

Mtoto ananyonya sana usiku silali

Mwanangu ana miezi 11 sasa alhamdulilah! Anakula vizuri .tu chakula cha usiku anakula around SAA 12 hadi saa moja jioni.Na Mimi nakuwa nimerudi toka mihangaikoni.
Ila shida ni kwamba ananyonya usiku kucha hata Mara kumi nashindwa kulala vizuri.
Naombeni ushauri wakuu.
Kumbe una kichanga, hongera sana, by the way, mtoto akinyonya hulali vizuri lakini babaake akinyonya unalala vizuuri[emoji3]
 
Acha akunyonye hata akikunyonya cku nzima haina shida. Mpe titi wakati wowote akitaka.
 
Kwa sababu wewe ni mlaji sana wa misosi haina shida mwache mtoto anyonye ili awe toto lenye nguvu!
 
Kuna dada mmoja alikua analalamika genye zake zipo kwenye nyonyo..mtoto akinyonya anagenyeka sana,angempata mwanao huyo nadhani usiku kucha angekua kwenye hali mbaya sana
 
Mwanangu ana miezi 11 sasa alhamdulilah! Anakula vizuri .tu chakula cha usiku anakula around SAA 12 hadi saa moja jioni.Na Mimi nakuwa nimerudi toka mihangaikoni.
Ila shida ni kwamba ananyonya usiku kucha hata Mara kumi nashindwa kulala vizuri.
Naombeni ushauri wakuu.
Amerithi kwako,
 
Pamoja na kejeli ulizopewa ila nakushauri; Badili huo muda wa kumlisha chakula. Jitahidi pia saa 3-4 usiku mpe chakula. Halafu, ni chakula gani?? Isije kuwa ni uji unasema chakula. Mpe kitu kigumu kidogo kikae tumboni. Pia, jitahidi asilale na wewe karibu. Hivi umewahi jiuliza, ukiugua ukalazwa utafanyaje?? Najua maisha magumu ila jitahidi awe na kitanda chake mwenyewe. Kama upo na baba tu yaani huyo ka ni wa kwanza mpe baba ambembelezee kwa kitanda chake hadi usingizi ndio arudi sehemu yake kulala
 
Wanawake wa kidigitali hawapendi kuwanyonyesha watoto mda mrefu wanaogopa maziwa yataning'inia kama bendera iliyokosa upepo.
 
Back
Top Bottom